Vunja jungu ya kufa mtu

Vunja jungu ya kufa mtu

IKWETE

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
4,057
Reaction score
696
Tarehe zinasogea.
Siku za kuanza mfungo zinakaribia.

Wote wenye mapenzi mema wani pm nakusanya michango kwa ajili ya shughuli hii muhimu.

Natarajia Ustadh Mzee Yusuph atakuwepo, Kanga Moko watakuwepo, na vinywaji vya kutosha.

Shime shime wandugu tuchangamke siku zimebaki chache.
 
Tarehe zinasogea.
Siku za kuanza mfungo zinakaribia.

Wote wenye mapenzi mema wani pm nakusanya michango kwa ajili ya shughuli hii muhimu.

Natarajia Ustadh Mzee Yusuph atakuwepo, Kanga Moko watakuwepo, na vinywaji vya kutosha.

Shime shime wandugu tuchangamke siku zimebaki chache.

Tafadhali sana ndugu kama unatangaza sherehe zako wewe tangaza lakini usihusishe na ujio wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
 
we kafiri acha kuuchafua uislam, Hakuna uhusiano wa sherehe yako na mwezi mtukufu.
Ndio mana waislam mnatuona wakorofi, mtu kama wewe unapaswa ufunzwe adabu.
 
رجل ميؤوس منها
 
Tafadhali sana ndugu kama unatangaza sherehe zako wewe tangaza lakini usihusishe na ujio wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Miezi mingine ni ya laana? Mi nasikitika tu biashara yangu ya kitimoto itakavyodorora kwa kipindi cha mwezi mzima.
 
Mimi si muislam lakini habari kama hizi za kuhusisha mwezi wa ramadhani na taarab, kanga moko na vinywaji kwa kweli sio stahiki kabisa.
 
usitangaze sherehe zako kwa minajili ya kukashifu dunk za watu...
 
فقضصعبت هغبييلغ
 
Huu ni uchochezi ambao haufai kwa jamii, kama ni sherehe ungeweza kutangaza bila kutaja dini za watu na hata mm ningekupm kuhusu mchango lakini hii imekaa kiunafiki na kiuchochezi sana!
 
Hakuna vunja jungu katika uisl am ila makafiri wameanzisha ili kuupaka tope uislam,tunajua waislam hatupendwi na makafiri[watoto wa sheitwan] hivyo hatushangai so hakuna jipya
 
Tarehe zinasogea.
Siku za kuanza mfungo zinakaribia.

Wote wenye mapenzi mema wani pm nakusanya michango kwa ajili ya shughuli hii muhimu.

Natarajia Ustadh Mzee Yusuph atakuwepo, Kanga Moko watakuwepo, na vinywaji vya kutosha.

Shime shime wandugu tuchangamke siku zimebaki chache.

kanga moko si imepigwa marufuku pamoja na vigodoro, baikoko, mchiriku na mnanda?
 
Miezi mingine ni ya laana? Mi nasikitika tu biashara yangu ya kitimoto itakavyodorora kwa kipindi cha mwezi mzima.

Wewe ni mtoto wa mbwa hata lugha huijui kwani kinyume cha tukufu ni laana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom