Yule dada makamu mwenyekiti amefungua matawi mangapi?
Shibuda amefungua matawi mangapi?
yule dada makamu mwenyekiti amefungua matawi mangapi?
Shibuda amefungua matawi mangapi?
Huyu mzee namfanisha na Baba yake REJAO!
shibuda anawatoa povu......mpaka mwaka uishe hakuta atakayekuwa amesalia
CDM ya leo si ya mwaka jana iliyokuwa inategemea kiongozi mmoja, sasa Slaa kapumzika vijana wanafanyakazi.Kama ni mbishi unaweza usiamini kabisa kwamba labda mkutano huo ni Heche pekee amekusanya watu hao wote!!!! Ikiwa hivi ngoma nzito 2015 kwa wabunge wabunge wa CCM na rais.