Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,325
- 115,329
Umepotelea wapi sasa na wewe Mtani mi ndo nilikuwa nakutegemea kwa updates.Nilitegemea utakuwa unaifuatilia mechi ya timu yako ili uone kama kuna 'muunganiko' 😁😁😁
Umepotelea wapi sasa na wewe Mtani mi ndo nilikuwa nakutegemea kwa updates.Nilitegemea utakuwa unaifuatilia mechi ya timu yako ili uone kama kuna 'muunganiko' 😁😁😁
Nipo chimbo hakuna hata umeme, nategemea muweke humu nioneUmepotelea wapi sasa na wewe Mtani mi ndo nilikuwa nakutegemea kwa updates.
Hahahaaa. Muone. 😂Nipo chimbo hakuna hata umeme, nategemea muweke humu nione
Kumbe upo? 🤫Hahahaaa. Muone. 😂
Nipo Kaka ila nimejichimbia kule kwenye uzi wa Wananchi.Kumbe upo? 🤫
Pacha tumepotezana sanaNipo Kaka ila nimejichimbia kule kwenye uzi wa Wananchi.
Bora umemwambia mkuu,tutaniane sio kutukanana,Mods wanaonaMatusi sio sawa mkuu. Na kama lazima sana kumtukana mtukane yeye usimtukane mama yake. Huyu mama amehusika nini hapa kwenye ubishani wenu wa mpira?
Imeisha ioHii mechi wana Simba wenzangu nilishahisi dalili za kupigwa. Tusipokuwa makini tunapoteza
Na mie nashangaa eti Pacha. Upo?Pacha tumepotezana sana