Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
yanga hali ilikua tete so akawa anatetemekaMleta mada uwe unaweka updates kwenye post yako unatusumbua. Haya naombeni matokeo yote ya leo
na wewe nawe.kwani analipwa?Mleta mada uwe unaweka updates kwenye post yako unatusumbua. Haya naombeni matokeo yote ya leo
Isije kuwa mmechukua makali yetu ya kutoa sare.
hapo sawaaaa ila swali langu kipa Wa ruvu shooting hakuweka uchawi golini? mbona msuva kakosa magoli ya waziii
We muhudumu uliyovaa skin jeans ya kijani na tisheti ya njano, hebu mpelekee comradi bin zubeiry heineken 5 mi niongezee bapa nyingine.
mnaunda lini Yanga UKAWA?Hongereni simba.
hapo sawaaaa ila swali langu kipa Wa ruvu shooting hakuweka uchawi golini? mbona msuva kakosa magoli ya waziii