VPL: 17 January 2015 live updates

VPL: 17 January 2015 live updates

Makoye Matale jana alizimia, bado yupo kwenye dozi la drip

Mkuu sikuzimia mie eti! Nilikuwa madhabahuni maana imeandikwa: 'Ikumbuke siku ya sabato uitakase...' Kutoka 20:8. Basi imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu, Waebrania 4:9. Soma pia Isaya 66:22 na 23.

Hongereni mikia kwa ushindi wa kubahatisha.

Wanayanga msikate tamaa, timu yetu ni nzuri sana, jana tulikamiwa tu, tutawachapa vilivyo katika mechi zijazo.
 
Last edited by a moderator:
ameeeen
Mkuu sikuzimia mie eti! Nilikuwa madhabahuni maana imeandikwa: 'Ikumbuke siku ya sabato uitakase...' Kutoka 20:8. Basi imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu, Waebrania 4:9. Soma pia Isaya 66:22 na 23.

Hongereni mikia kwa ushindi wa kubahatisha.

Wanayanga msikate tamaa, timu yetu ni nzuri sana, jana tulikamiwa tu, tutawachapa vilivyo katika mechi zijazo.
 
Mkuu sikuzimia mie eti! Nilikuwa madhabahuni maana imeandikwa: 'Ikumbuke siku ya sabato uitakase...' Kutoka 20:8. Basi imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu, Waebrania 4:9. Soma pia Isaya 66:22 na 23.

Hongereni mikia kwa ushindi wa kubahatisha.

Wanayanga msikate tamaa, timu yetu ni nzuri sana, jana tulikamiwa tu, tutawachapa vilivyo katika mechi zijazo.

Tumezipokea, nanyi hongereni kwa ushindi wa kishindo dhidi ya Ruvu Shooting jana.
 
Amina Mkuu Amavubi.

Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; maana wakati u karibu; Ufunuo 1:3.

hahaha kubali tu ukweli.yani simba kila siku inabahatisha?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sikuzimia mie eti! Nilikuwa madhabahuni maana imeandikwa: 'Ikumbuke siku ya sabato uitakase...' Kutoka 20:8. Basi imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu, Waebrania 4:9. Soma pia Isaya 66:22 na 23.

Hongereni mikia kwa ushindi wa kubahatisha.

Wanayanga msikate tamaa, timu yetu ni nzuri sana, jana tulikamiwa tu, tutawachapa vilivyo katika mechi zijazo.

Hahahaaa! Makoye Matale umefanya vzuri kuonekana jukwaani, lakini ungetumbukia jana ingekuwa vzuri zaidi. Je unataka kutuambia kila Jmosi jioni utakuwa huonekani jukwaani kwa 7bu ya SABATO au ni kwa jana TU?
 
Hahahaaa! Makoye Matale umefanya vzuri kuonekana jukwaani, lakini ungetumbukia jana ingekuwa vzuri zaidi. Je unataka kutuambia kila Jmosi jioni utakuwa huonekani jukwaani kwa 7bu ya SABATO au ni kwa jana TU?

Mkuu umeuliza swali la msingi sana, ngoja niweke kumbukumbu zangu vizuri. Jibu litakalotoka ni muhimu sana.
 
Hahahaaa! Makoye Matale umefanya vzuri kuonekana jukwaani, lakini ungetumbukia jana ingekuwa vzuri zaidi. Je unataka kutuambia kila Jmosi jioni utakuwa huonekani jukwaani kwa 7bu ya SABATO au ni kwa jana TU?

Hana lolote huyo, Sabato mwisho saa 12 jioni. Mechi zilimalizika saa 12 jioni watu tukaanza kujimwayamwaya humu, yeye alikuwa wapi kama sio uongo.
Sabato gani upo nyumbani ushindwe hata kuperuzi habari JF, basi hata kutawaza hawatawazi wakienda haja kubwa au ndogo maana nayo inatumia vidole pia.
 
Hana lolote huyo, Sabato mwisho saa 12 jioni. Mechi zilimalizika saa 12 jioni watu tukaanza kujimwayamwaya humu, yeye alikuwa wapi kama sio uongo.
Sabato gani upo nyumbani ushindwe hata kuperuzi habari JF, basi hata kutawaza hawatawazi wakienda haja kubwa au ndogo maana nayo inatumia vidole pia.

Jamani mwacheni Makoye Matale alipatwa na ugonjwa unaitwa Seismic Shock tension Malfunctioning unaotokana na Mnyama kurudi kwenye nafasi yake..hahahaha
 
Last edited by a moderator:
Sunderland wenzangu baada ya Ndanda kuchele nani tena anafuata kunyolewa? Treni ishashika kasi nani wakuizuia! VIVA SSC.
 
Back
Top Bottom