last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,700
- 3,924
Hadi uchawi nao sisi tuko developing aise
Mkuu kila sekta Tupo chini.. Hivi ni nini tunaongoza sisi Wabongo?Hadi uchawi nao sisi tuko developing aise
Teh teh teh eti waganga wengi kuliliko mashabiki,dah!Tolii tuu hizo Zaire ilienda na waganga wengi kombe la Dunia kuliko mashabiki uwanjani sikumbuki mwaka gani ila kuna gemu walipigwa 9-0 na waganga wao wakiwa jukwaani..
Ndugu yangu sisi tuko juu mno, TZ, Kwa ufundi hana mshindani hata hao wamagharibi wanakiri, issue ni kwamba, sisi hili jambo linaonekana kama ni ujinga hivyo linafanyika kwa siri mno, yaani mtu akienda kwa mganga ananyata hataki hata kivuli chake kijue, ila hawa wenzetu hii ni part ya maisha yao ya kila siku, wala hamna mtu anayejali kama unafanya kafara lako popote pale, wewe bado hujatembembea huko Tanzania, Ukajionea mambo.Tunatajwa kila mara kukamata namba kwenye ishu za uchawi ushirikina na mambo ya giza lakini ukweli ni kwamba sisi bado saana, kilichotupaisha ni ishu za albino tuu
Hebu furahisha macho na hizi uone kama Tanzania tunazohawa ndio mabingwahuyu mashetani tayari yameshampandawatu kazini
Subiri nimwiite Baba Majaliwa........Nimeona pembe ya Faru John kwenye hii picha.Tunatajwa kila mara kukamata namba kwenye ishu za uchawi ushirikina na mambo ya giza lakini ukweli ni kwamba sisi bado saana, kilichotupaisha ni ishu za albino tuu
Hebu furahisha macho na hizi uone kama Tanzania tunazohawa ndio mabingwahuyu mashetani tayari yameshampandawatu kazini
Mshana Jr nafika sehem nashindwa kukuelewa, why do you keep on following up this spiritual things? There must be an evil spirit behind it
Mkuu ilikuwa mwaka 1974 kombe la dunia lililofanya West Germany.Tolii tuu hizo Zaire ilienda na waganga wengi kombe la Dunia kuliko mashabiki uwanjani sikumbuki mwaka gani ila kuna gemu walipigwa 9-0 na waganga wao wakiwa jukwaani..
Ndugu yangu sisi tuko juu mno, TZ, Kwa ufundi hana mshindani hata hao wamagharibi wanakiri, issue ni kwamba, sisi hili jambo linaonekana kama ni ujinga hivyo linafanyika kwa siri mno, yaani mtu akienda kwa mganga ananyata hataki hata kivuli chake kijue, ila hawa wenzetu hii ni part ya maisha yao ya kila siku, wala hamna mtu anayejali kama unafanya kafara lako popote pale, wewe bado hujatembembea huko Tanzania, Ukajionea mambo.
Umenifumbua macho. ....ni ya Kwanza kiuchawi kwenye mambo ya utawala. ..kumbe ndio maana ccm.Uchawi una branches nyingi.Takwimu zako hazionyeshi Tanzania iko nyuma kwenye BRANCH IPI YA UCHAWI.
Kwa taarifa yako TAnzania ni ya kwanza Afrika kwenye branch ya uchawi wa mambo ya utawala.Hizo nchi zingine zimebobea kwenye uchawi wa kukabana usiku na kuwangiana ndio maana hazina amani wala utulivu ,huwa mapinduzi kila wakati yanafanyika nchi hizo sababu uchawi wa utawala hawana.
Unatorokea wapi? Pweta? Mabilioni? Usangi? ama unakwenda kujificha milimani?............Subiri Maja boy anakuja muda huu.
Napenda sana hili neno ''..Mpang'ang'a...''Mungu anakuona
Ndugu yangu nenda kwa wamang'ati ukajionee vimbwanga, usikomae na mkoa wa tanga tuu.