The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
NOTE:
å Nadhani hii ndiyo imefanya jamhuri kuanzisha fujo leo mahakamani ili tu kuzuia usikilizwaji wa kesi inayomkabili m/kiti wa CHADEMA (taifa) ndugu Freeman Mbowe ushindwe kuendelea...
å Ni jambo jema kuwa haya mambo yanafanyika mchana kweupe kila mtu akiona. Na uzuri ni kuwa hapa ni mambo ya sheria. Ukitenda hili utaulizwa kwa mujibu wa sheria na kifungu gani cha sheria hiyo..!
Aluta Continue...