Vodacom acheni kubambikiwa wateja wetu huduma wasizozihitaji

Isalu

JF-Expert Member
Nov 3, 2022
504
664
Nimegundua janja ya kampuni hii ya Vodacom kuwaungaisha kwenye huduma zenye makato ya fedha bila wateja wenyewe kuwa wamejiunga kwa ridhaa yao. Nimeshangaa sms imeingia kwenye simu yangu kutoka Vodacom kunijulisha nimefanikiwa kujiunga na huduma ya chekecha hesabu na nitakatwa sh200 Kwa siku Tena kupitia akaunti ya m-pesa.

Nikajaribu kutafuta customer care nijaribu kuwauliza kuhusu kuunganishwa na huduma ambazo sizihitaji wala siku apply. Sikufanikiwa kuongea na mhudumu kutokana na utaratibu wao kuchagua huduma mbalimbali Kwa kupiga *149*01# na options nyinginezo na ndizo nilizotumia na kujiondoa kwenye hiyo huduma ya chekecha hesabu.

Na ktk kupekua huduma nilizounganishwa nikakuta pia niliunganisha kwenye huduma ya BRT ambayo hata sijui inahusika na Nini na makato yake ni sh200 hadi 800 kwa mwezi kutegemea na chaguo lako. Sasa sijajua Mimi ninakatwa sh ngapi kwenye huduma hiyo.

Na kila nilijaribu kujiondoa wanamjibu mtoa huduma hiyo hapatikani kwa sasa, kuashiria ni zuio la makusudi ili mteja asijitoe na mtoa huduma aendelee kukata fedha. Management ya Vodacom liangalieni hili jambo Maana hii ni hujuma kwa wateja wenu.
 
Hii tabia Wanayo vodacom na Halotel,walinifanye nichoke hata kununu vocha ikanilazmu niwe najiunga kupitia Account zangu. Ukiweka vocha ya 2000, unajiunga unaambiwa salio halitoshi kumbe imekatwa ikabaki 1800.
 
Nami pia nakutana na hujuma hizi sana sana.
Haya majamaa ni majizi yaliyokubuhu na napanga mwaka huu kuhama kabisa mtandao huu!
Ukiwa inajiunga na kifurushi wakati unamlizia kujiunga inakuja huduma ya mkopo ambayo inahitaji wewe uacsept bila kuwa makini unajiingiza kwenye mkopo bila kutarajia wakati huo ulikuwa unasalio mpesa.ni utapeli wa mchana kweupe.
 
Hii tabia Wanayo vodacom na Halotel,walinifanye nichoke hata kununu vocha ikanilazmu niwe najiunga kupitia Account zangu. Ukiweka vocha ya 2000, unajiunga unaambiwa salio halitoshi kumbe imekatwa ikabaki 1800.
Halotel bana huwa naweka kifurush cha buku 2 natumia siku 2 au tatu,
sasa kwenye wiki ya huduma kwa wateja kwa siku moja nimeweka mara tatu,
Na hiyo mara ya tatu nimeweka mb then nikazama saluni kunyoa.

nilivyo maliza kunyoa kuwasha data napokea ujumbe kifurush chako kimeisha!! Dah nilichoka sana....

nikatulia kidogo,
nikaenda kupata kachupa kamoja ka mvinyo, nikawapigia.....

Jamaa likapokea linaniambia eti nimejiunga na matumizi makubwa sana niangalie kwenye cm yangu kuna vitu vinatumia mb nyingi sana.

nikamuuliza ni vitu gani mbona hakuna na sioni kitu,
Muhudumu ananiambia mimi naona hapa kwenye system unatumia matumizi makubwa,

niambie ni kwenye kitu gani apo?
naomba kwa haraka sana ondoa hizo huduma ulizoniunganisha nazo kihuni.....

tangu siku iyo naweka cha buku natumia muda mrefu zaidi ya cha buku 2, sijui walifanya muujiza gani na mimi sioni cha kufanya kwenye cm yangu
 
 
Hawa Vocacom ni Hovyo kabisa.

Hata mimi juzi kushinda jana kuna huduma wamenipa taarifa eti nimejiunga nayo na watakata 300/= wakati sijajiunga na huduma yoyote

Vodacom ni wezi kabisa
 
Kipind naanza biashara baba yangu alinambia uwoga wako ndo umaskini wako na baba yangu ni mfanya biashara mkubwa sana ila alinisisitiza sana na akanambia nisiogope kupiga deal kisa kuofia kushikwa au kufungwa polisi imejengwa kwa ajiri yetu na sio mbwa kwaiyo nisiwe mwoga kwnenye biashara

Nazan watanzania tuache uoga na tuanze kushirikiana tunashindwaje kukusanya ushahidi na kuwapeleka mahakani aya makampuni
Tuache kulalamika na tuanze kutumia makosa yao km fulsa kwetu leo hii unaugwa kwenye uduma bila taarifa unavyamaza wakat pesa zako zimeenda leo hii mtandao haupatikan siku nzima na atujapewa taarifa tunanyamaza leo hii uduma za kifedha zinaweza kosekana kbsa kwa sku nzima au masaa na mtandao wasitoe taarifa na tukanyamaza.
Sasa kwann tusiungane tukachanga pesa tukatafta mawakili wazuri haya makampuni tukayashitaki cha msingi ni kutafta ushahidi usio na daot na kupama mawakili wazalendo
Haya makampuni yakishitakiwa mara mbili mara tatu na yakalipa faini izi tabia zitapungua
 
Mimi wamenipa huduma ya muito.. sielewi wamenipaje, ila siwekagi vocha mara kwa mara. Cha kunikata hawana
 
Makampuni yanatuongoza sisi kwa sheria zao na zle za sherikal ila sisi wananchi atujui ni sheria zipi tunaweza zitumia kuyabana haya makampuni
 
Kipind naanza biashara baba yangu alinambia uwoga wako ndo umaskini wako na baba yangu ni mfanya biashara mkubwa sana ila alinisisitiza sana na akanambia nisiogope kupiga deal kisa kuofia kushikwa au kufungwa polisi imejengwa kwa ajiri yetu na sio mbwa kwaiyo nisiwe mwoga kwnenye biashara

Nazan watanzania tuache uoga na tuanze kushirikiana tunashindwaje kukusanya ushahidi na kuwapeleka mahakani aya makampuni
Tuache kulalamika na tuanze kutumia makosa yao km fulsa kwetu leo hii unaugwa kwenye uduma bila taarifa unavyamaza wakat pesa zako zimeenda leo hii mtandao haupatikan siku nzima na atujapewa taarifa tunanyamaza leo hii uduma za kifedha zinaweza kosekana kbsa kwa sku nzima au masaa na mtandao wasitoe taarifa na tukanyamaza.
Sasa kwann tusiungane tukachanga pesa tukatafta mawakili wazuri haya makampuni tukayashitaki cha msingi ni kutafta ushahidi usio na daot na kupama mawakili wazalendo
Haya makampuni yakishitakiwa mara mbili mara tatu na yakalipa faini izi tabia zitapungua
Kuna huduma ya kurudisha muamala sijui waliiweka kwa ajili bgani . ukikosea ukijaribu kurudisha muamala unaambiwa subiri masaa 24 baada ya hayo masaa unaambiwa alishatoa hela sasa sijajua ina msaada gani? Nyingine ni hii unataka kujiunga na kifurushi cha 10000 labda ukikosea kidogo maandishi inakua 100000 kifurushi cha laki mimi kwa biashara gani jamani ??? Ukipiga simu unaambiwa hatuna msaada hapo.hivi hii ikoje ndugu zangu ni???
 
VODACOM NI MATAPELI SAAN

HALOTEL NI WAIZ WAIZI WAIZI WAKUBWA WA VIFURUSHI.

hiyo siku ndio nilichoka nimejiunga bando la internet gb 1 mara kdg nasikia msg kifurushi kimeisha nimazama tena halopesa nikanunua kingine sijakaa poa kimeisha nikaona huu ni us*nge sas,

nikanunua kifurush cha 500 mb 2240 alaf simu nimaeka pemben huku naitazama mara ikaingia msg umebakiwa na asilimia chache za mb kuangalia nakuta mb 30 aseh nilipiga simu niliwaka vibaya wananipa sababu za nyokonyoko ambazo hazielewek

ILA HALOTEL NI WAIZ WAIZ WAIZI KISHENZ MBWA HAWA

Sent from my SM-J337W using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom