Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Ha ha ha !!! Customers wengi walishasepa kiaina na kuingilia tiGo!!! Afadhali wameshtuka mapema!!
Sure.
Nilikuwa na jamaa zangu wasiokubali mabadiliko, kwa sasa nashangaa wametupa laini zao za Voda, wameingia tigo.