macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,846
- 39,711
Mambo mengine yanatakiwa utafakari na siyo ubwatuke tu. Wewe una tatizo walilonalo watanzania wengi. Maneno meengi bila akili. Unajuaje kama huyo ''fundi umeme'' alikuwa aende afanye mengine? Back to topic: hidemyid2019 Ni kweli hizi taasisi zetu za huduma zina watu matapeli wamejipenyeza. Kuanzia benki, kapumpuni za simu na sehemu nyinginezo. Lakini inawezekana vilevile isiwe Vodacom waliovujisha. Inawekana mwenye nyumba wako alipopokea msg katika mazungumzo yake na mtu wa karibu kuna tapeli alikuwa karibu na anakujua wewe akatumia hiyo chance. Au wewe ulikuwa katika mazungumzo yako huko nyumbani kuna tapeli alikusikia na akatumia hiyo chance. Hapa hata Vodacom wakikupeleka mahakamani utashindwa kwani huna ushahidi wa tuhuma zako.yani voda wavujishe taarifa kwa fundi umeme ili wapate gawio la posho ama...!? hahaaahaaaaaa