Hakuna gharamaGharama za kujiunga na Airtel Mastercard plz
NakaziaVodacom wako vizuri kwenye kila kitu nchi hii. Mpesa, internet, huduma kwa wateja, master card na kila kitu. Vodacom hawana mpinzani.
Mbona nikijaribu inadai sina salio la kutoshaHakuna gharama
Wanakata elfu mbili mkuuHakuna gharama
Ni 2000. Na hii utakatwa kila mwaka.Mbona nikijaribu inadai sina salio la kutosha