hv hamshtuki tu kuwa tcra ndio wanapanga hz bundle?
1. Kwa pamoja walieka vifurush vya kupiga mitandao yote
2. Kwa pamoja walieka kifurush cha 1gb kwa siku kwa buku
3.kwa pamoja walikitoa kifurush hapo juu
4.kwa pamoja wanaeka unlimited kwa buku tigo, voda nimeconfirm