Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,928
- 6,467
Wanajukwaa jumapili njema,
Hivi hii kitu vodacoma wameleta wakati mtu unapiga simu kwenda voda mnaionaje? Wameshindwa kutuma ujumbe mmoja kwa kila mteja waache kutupigia kelele kila tunapotaka kupiga simu?
Inafikia kiwango mpaka sasa mtu unaona tabu kupiga simu. Muda mwingine unapiga unaweka chini usubirie sekunde kumi ziishe ndo uweke simu sikioni.
Kiukweli kwangu mm hiki kitu ni kero sana kiasi kwamba natamani hata niwe natuma tu ujumbe badala ya kupiga simu. Vodacom tuoneeni huruma wateja wenu msitishe hiki kitu.
Hivi hii kitu vodacoma wameleta wakati mtu unapiga simu kwenda voda mnaionaje? Wameshindwa kutuma ujumbe mmoja kwa kila mteja waache kutupigia kelele kila tunapotaka kupiga simu?
Inafikia kiwango mpaka sasa mtu unaona tabu kupiga simu. Muda mwingine unapiga unaweka chini usubirie sekunde kumi ziishe ndo uweke simu sikioni.
Kiukweli kwangu mm hiki kitu ni kero sana kiasi kwamba natamani hata niwe natuma tu ujumbe badala ya kupiga simu. Vodacom tuoneeni huruma wateja wenu msitishe hiki kitu.