NR'S
Senior Member
- Feb 14, 2012
- 106
- 12
hivi kati ya voda lile bundle la wiki na airtel bundle la weiki lipi ni zuri na vipi kuhusu download speed zao pls msaada wadau cuz juzi kt nilinunua la zantel la siku 3 likazinguwa nikashidwa hata ku upload hata page kuwapigia customer care wakasema eti 3g baado aipo fresh baadhi ya maeneo mpaka kariakoo