Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 26,796
- 38,815
Ndio kipi hicho?Chama cha mashetani
Ndio kipi hicho?Chama cha mashetani
😀😀Halafu kesho kutwa mnaanza kulialia vijana hatupati mikopo blah blah...48,000/- tu unatelekeza line je ukikopeshwa 50m si utahama na nchi!
Jipige ngumi usoni kisha useme ww ni mwamba.Wakuu hawa jamaa wamesamehe deni au ni kamtego flani wameweka ninase? Ngastuka....
NB: Nilikopa songesha mwakajana mwezi wa 6 nikatelekeza kutumia M_pesa baada ya mambo kua magumu.View attachment 1686393
Abbreviate thisNdio kipi hicho?
Kweli kabisa, kwa zaidi ya mwaka ungekua unatumia huduma zao ilikua zaidi ya hiyo elfu 48..maana sisi wa tz ni wabishi, tupo radhi kukuhama tu..zaidi ya mwana pia situmii mpesa, subiri nirudi nione..elfu 44 yao wawe wapole tuNi kweli sisi wadaiwa sugu wote tumesamehewa kweli na hawakati natumia toka wiki jana, mimi nilikuwa nadaiwa 48,000+ na nikaitelekeza mpesa kwa karibu mwaka.
Watakuwa wamepiga hesabu wameona wanapata hasara kwa sababu wateja wenye sifa zote za kufanya transaction wananufaisha mitandao mingine.
Lakini hii tabia ya kukopeshwa fedha halafu unakimbia deni ni mbaya sana, ukishawakimbia voda unaenda TIMIZA kule airtel, nako ukiwakumbia unaenda TIGO. Sasa ukimaliza wote huko, na kwa kuwa umezoea kula nyama ya mtu, sasa unaingia mitaani kwa jirani zako, wafanyakazi wenzako etc...Ni kweli sisi wadaiwa sugu wote tumesamehewa kweli na hawakati natumia toka wiki jana, mimi nilikuwa nadaiwa 48,000+ na nikaitelekeza mpesa kwa karibu mwaka.
Watakuwa wamepiga hesabu wameona wanapata hasara kwa sababu wateja wenye sifa zote za kufanya transaction wananufaisha mitandao mingine.
Si ndiyo hapo sasa mkuu? Na hawa ndiyo waluopelekea usajili wa laini za simu kwa vidole na picha. Mimi voda nakopa sana, hasa kwenye issues za Luku, bili ya maji etc wanasaidia sanaa. Na uzuri wenyewe hata ukiwa na elfu 5 inapunguza deni...Halafu kesho kutwa mnaanza kulialia vijana hatupati mikopo blah blah...48,000/- tu unatelekeza line je ukikopeshwa 50m si utahama na nchi!
.Wanaona ujanja kotolipaHalafu kesho kutwa mnaanza kulialia vijana hatupati mikopo blah blah...48,000/- tu unatelekeza line je ukikopeshwa 50m si utahama na nchi!