Vodacom ndio kusema mmesamehe au?

Vodacom ndio kusema mmesamehe au?

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,571
Reaction score
16,358
Wakuu hawa jamaa wamesamehe deni au ni kamtego flani wameweka ninase? Ngastuka....

NB: Nilikopa songesha mwakajana mwezi wa 6 nikatelekeza kutumia M_pesa baada ya mambo kua magumu.
20210126_085408.jpg
 
Hahaha wanakosa mapato kwa ujinga wao, hata mm nimepokea sms yao karibu siku ya nne leo mfululizo subiri nitaweka buku nione...sikumbuki mara ya mwisho kutumia mpesa ni ln...
 
Ni kweli sisi wadaiwa sugu wote tumesamehewa kweli na hawakati natumia toka wiki jana, mimi nilikuwa nadaiwa 48,000+ na nikaitelekeza mpesa kwa karibu mwaka.

Watakuwa wamepiga hesabu wameona wanapata hasara kwa sababu wateja wenye sifa zote za kufanya transaction wananufaisha mitandao mingine.
 
Wakuu hawa jamaa wamesamehe deni au ni kamtego flani wameweka ninase? Ngastuka....

NB: Nilikopa songesha mwakajana mwezi wa 6 nikatelekeza kutumia M_pesa baada ya mambo kua magumu.View attachment 1686393
Halafu kesho kutwa mnaanza kulialia vijana hatupati mikopo blah blah...48,000/- tu unatelekeza line je ukikopeshwa 50m si utahama na nchi!
 
Mimi hawajanitumia wananidai kama 25 hivi nilihamia tigo pesa...kwakweli wateja wa voda wamepungua sana kutoka na na songesha
 
Mm M-PAWA kila siku lazima wanitishie kunifikisha mahakamani mana wananidai 49k
 
Halafu kesho kutwa mnaanza kulialia vijana hatupati mikopo blah blah...48,000/- tu unatelekeza line je ukikopeshwa 50m si utahama na nchi!
Watz ni mambumbumbu sana mkuu!

Mimi voda inaniokoa sana pindi nikibanwa! Na kila wakinipiga tafu huwa nafanya juhudi nirudishe deni maana najua kuna siku ntabanwa alafu ntashindwa pa kutokea
 
Tigo nivushe wananidai laki 4 ninachoshukuru nilipoteza simu.
Nilipotaka kuirudisha laini WANAKATAA maana ilikuwa na elfu 24 na laini sikuisajili kwa jina langu.nikaachana nayo.
 
Waongo mm walinitumia nikajua wananidesh ..kwa mara ya kwanza nikaweka buku kujaribu kweri hawakuchukua na wakanipa vihofa kibao..ww baada yakuweka ten ilikwapuliwa fasta na sms juu kuwa nimekatwa deni la songesha
 
Mm M-PAWA kila siku lazima wanitishie kunifikisha mahakamani mana wananidai 49k
Mimi hao mpawa waliniambiaga hati ya mashitaka wameshaandaa tayari kwa kosa la mitandao la kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu, sasa hivi wananitumia wanasema HATA WEWE unashindwa kulipa? lipa leo uendelee kukopa.
 
Watz ni mambumbumbu sana mkuu!

Mimi voda inaniokoa sana pindi nikibanwa! Na kila wakinipiga tafu huwa nafanya juhudi nirudishe deni maana najua kuna siku ntabanwa alafu ntashindwa pa kutokea
Kumbe na Mataga Mnakopaga.
 
wahongo mm walinitumia nikajua wananidesh ..kwa mara ya kwanza nikaweka buku kujaribu kweri hawakuchukua na wakanipa vihofa kibao..ww baada yakuweka ten ilikwapuliwa fasta na sms juu kuwa nimekatwa deni la songesha
Hahahah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom