Vodacom na bado mtafilisika kabisa

Vodacom na bado mtafilisika kabisa

Kampuni kubwa ya kimataifa haina mikakati ya kibiashara,mnachekesha mno,na kama hakuna MTU anayewahujumu basi pigeni chini management yote ya "Sales and Marketing".
yaani nyie mna tabia zote za kichawi, kila siku mnabuni mbinu za kuwakamua wateja wenu,matokeo yake mnapoteza zaidi ya mil 200 kila wiki,Mteja aliyekuwa akipata MB au vocha kwa sh 500 per week ,sasa hivi mmeweka eti sh 20,000 kwa mwezi,mnadhani pesa zinaokotwa?
kwa hiyo mmepoteza zaidi ya wateja 100,000 ambao mlikuwa mkipata zaidi ya mil 30 kwa siku faida tu,after tax payment, 100,000 x 300=30,000,000.
nawafahamu mno aina ya watu mliowaajiri,lazima mfilisike tu,sijui walisoma uchumi wapi,kwa tuliosoma uchumi tunatambua slogan hii " the less money,the more money, the more money, the less money".
inachoma kama pasi..ngoja tule utawala

Screenshot_2018-05-20-07-58-24-1.jpg
 
voda ukikwangua vocha ukasahau kuweka kwenye cm wanakata hata ikiwa mezani, ukanunua halaf hujaikwakungua jinsi walivyo waroho wanakutext "mbona hukwangui hio vocha? Ita expire ujue" wajamaa ni waroho kana kwamb hata kama simu imezima charge, ukipitsha vocha tu karibu inawaka. Blv me, sisemag uongo wala hata sijui bang ikoje
sasa mbona hatujakuuliza kama huwa unasemaga uongo au unaijua bangi ila umeshajitetea tayari...?
 
Halafu siku hizi wameanza utapeli. Walianzisha promosheni ya TUSUA MAPENE. Utapeli mtupu. Tofauti na wenzao wa TIGO, washindi wao wa mara ya mwisho wanatokea mkoa wa Ruvuma hata kama kwa sasa wapo maeneo tofauti yaani Korogwe na Njombe.

Reaction ya washindi walipopigiwa simu ilimshtua Dada Materu aliyekuwa anawapigia washindi. Cha ajabu sana afisa kutoka Gamming Board of Tanzania alibaki anang'aa macho kama picha fulani hivi. Kilangila.
Hahahah alishtuka kwann mkuu.
 
Ndo wabongo walivyo
Tena sasa hivi wameongeza kifurushi kingine kwa mia tano wanakupa units 500 kwa week ambapo unit moja ni sawa na dakika moja voda kwa voda (maana yake ni dkk 500 ) na units tano ni dakika moja kwa mitandao yote (maana yake ni dakika 100 ) na unit moja ni sawa na MB 1
Hiyo ni kwa ajili ya wateja wenye laini za chuo?
 
Hata mimi binafsi sina sababu ya kuhama voda kabisa.
Kwa sh 1500=150 min (voda-voda) 15 min (all ntws) 1gb +1gb night (total 2gb) ulimited sms, free facebook, whatsapp and instagram.
Kwa sh 2000 ndio kama ulivyosema hapo juu hata mimi ninacho cha Dar supa UNI.
Hivi ni mtandao gani naweza pata ofa hii! tigo wenyewe kifurushi cha chuo wanapewa sijui dk 100 tena za tigotigo na mb hazizidi 50,halafu kwa 1500 iyo hiyo.
asee angalia namna nyingine ya kuwatetea voda,usiwaingize kbsa wakomboz wangu TIGO maana tigo ndio wananifariji kwa ss baada ya voda kunibadilishia gharama za vifurushi kutoka mamia na maelfu mpaka mamia elfu na mamilioni,cjajua pengine voda wameifananisha namba yangu na ya mtu mwingne aliyepata teuzi za jpm
 
Ndo wabongo walivyo
Tena sasa hivi wameongeza kifurushi kingine kwa mia tano wanakupa units 500 kwa week ambapo unit moja ni sawa na dakika moja voda kwa voda (maana yake ni dkk 500 ) na units tano ni dakika moja kwa mitandao yote (maana yake ni dakika 100 ) na unit moja ni sawa na MB 1
OK, unajiungaje nami nijaribu
 
Bora hata vodacom tigo ndo kabisaa vifurushi bei juuu
 
Hata mimi binafsi sina sababu ya kuhama voda kabisa.
Kwa sh 1500=150 min (voda-voda) 15 min (all ntws) 1gb +1gb night (total 2gb) ulimited sms, free facebook, whatsapp and instagram.
Kwa sh 2000 ndio kama ulivyosema hapo juu hata mimi ninacho cha Dar supa UNI.
Hivi ni mtandao gani naweza pata ofa hii! tigo wenyewe kifurushi cha chuo wanapewa sijui dk 100 tena za tigotigo na mb hazizidi 50,halafu kwa 1500 iyo hiyo.

Mna ongea hivyo as if kila mtumiaji wa Voda yuko DAR au TMK.......by the way hivyo vifurushi mnavyo chekelea sijui Dar/TMK supa navyo vita badilika very soon kama walivyo badilisha kwenye “Ya kwako tu”
 
Hapana mkuu mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni... mie huwa natumia TMk supa uni... wako vzuri sana kwa siku 7 unapata dk 150 voda kwenda voda,dk 50 mitandao mingine,sms 2000,GB 1 za internet then watsap na fb bure vyote hivo kwa sh. 2000/= sasa hapo kweli ntaanzia wapi kuwalaumu

Yawezekana wana ubaguzi kwa wateja (natania). Nimenunua kifurushi cha dar supa UNI nikiwa mikocheni net ikagoma, nikaenda kawe kuwasha net hamna kitu. Nikasogea tangi bovu mambo yakawa yale yale. Nikaenda mwenge nako kifurushi hakiungi net. Sikua na namna tena zaidi ya kuwapotezea na kurudi kwa mtandao wangu wa zaman
 
Kampuni kubwa ya kimataifa haina mikakati ya kibiashara,mnachekesha mno,na kama hakuna MTU anayewahujumu basi pigeni chini management yote ya "Sales and Marketing".
yaani nyie mna tabia zote za kichawi, kila siku mnabuni mbinu za kuwakamua wateja wenu,matokeo yake mnapoteza zaidi ya mil 200 kila wiki,Mteja aliyekuwa akipata MB au vocha kwa sh 500 per week ,sasa hivi mmeweka eti sh 20,000 kwa mwezi,mnadhani pesa zinaokotwa?
kwa hiyo mmepoteza zaidi ya wateja 100,000 ambao mlikuwa mkipata zaidi ya mil 30 kwa siku faida tu,after tax payment, 100,000 x 300=30,000,000.
nawafahamu mno aina ya watu mliowaajiri,lazima mfilisike tu,sijui walisoma uchumi wapi,kwa tuliosoma uchumi tunatambua slogan hii " the less money,the more money, the more money, the less money".
kama fisi ndo wameingia vodacom kwa hili mpaka m-pesa na m-pawa sasa kuna hujuma huko zinatisha kwenye vifurushi ukinunua sana wanakupandishia bei na wanapunguza.
 
Voda wamebadilisha vifurushi vyao vya (ya kwako tu) bila kutazama vizuri uwezo wa wahusika, (watumiaji) mtu aliyekuwa anapata bundle la Gb 3 kwa tsh 2000 kwa siku 5 sasa anapata bundle hilo kwa 30,000.
Ni vema wangepunguza kiasi cha bundle kuliko kuongeza gharama.

Ukiwauliza katika page yao wanakujibu kama watoto wadogo hawana maelezo ya maana, na baada ya muda wanafuta maswali yote magumu kwao. Nimeachana nao mwezi wa tatu sasa.
Mbona hiyo bando bado ipo kama kawaida.....
 
Yawezekana wana ubaguzi kwa wateja (natania). Nimenunua kifurushi cha dar supa UNI nikiwa mikocheni net ikagoma, nikaenda kawe kuwasha net hamna kitu. Nikasogea tangi bovu mambo yakawa yale yale. Nikaenda mwenge nako kifurushi hakiungi net. Sikua na namna tena zaidi ya kuwapotezea na kurudi kwa mtandao wangu wa zaman
Ni lawama tu voda wako fresh sana kuliko mitandao mingi sana kwenye swala la data...
 
The more money, the less money haaaaah uchumi uliosoma ni wa yale magari yanayopaki jangwani... Just jork my
 
Mna ongea hivyo as if kila mtumiaji wa Voda yuko DAR au TMK.......by the way hivyo vifurushi mnavyo chekelea sijui Dar/TMK supa navyo vita badilika very soon kama walivyo badilisha kwenye “Ya kwako tu”
Kwa mfano kifurushi cha chuo ambacho mimi natumia, tokea kianze hakijawahi kubadilika kama ambavyo wengine wanafanya mfano tigo.
Natumia voda, tigo na airtel. Nimegundua hakuna mtandao uliokamilika kwenye kila huduma, mfano kwa huduma za kifedha voda, vifurushi vya bei rahisi airtel (japo spidi ni changamoto upande wa net) nao tigo wana huduma zao nzuri ingawa ni za msimu.
 
Nikiwa kama mtumiaji wa Voda nasema voda ndio mtandao wenye viwango nchi hii kama unataka MB 500 na unaish Dar kuna kifurushi cha Dar mb 500 instagram,whatsapp and facebook ni bure kwa sh 500
Shida n kwamba sio wote tunanunua mb kwa ajil ya fb,whatapp au instagram. Kwel mfumo wa vodacom siuelewi coz jinsi unavyotumia zaid na bei ndio inapanda badala ya kushuka
 
Rudi nyumbani TTCL kumenoga
Shida ya hii mitandao ukitumia mwez tu wanarudi kule kule. Ttcl nmevunja juz hapo hawa voda nawavumilia tu. Tigo ndio usiseme bando zao mb800 sh5,000/ sasa mb 800 unafanyia nn? Pia kumbuka upatikanaji wa sh5,000/ ulivyo
 
Back
Top Bottom