wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,290
- 3,946
Wakuu tafadhali msihame,wengine tuna hisa zetu humo! Please hebu tufikirieni na wenzenu
Maana yake ukilipia 500 unapata dakika 30 vod to vod 20 all net pamoja na Mb500 whatsapp,facebook and instagram ni free.means unapotumia hizo tatu mb zako 500 hazikatwi had uingie kwenye sites zingine ndio hizo zitatumika...ila kwa wateja wa dar tu...nimetumia mitandao mikubwa yote ila voda inawikimbiza wote mbali saanaMkuu umenicha njia panda ukivomalizia. Hiyo '..bure kwa sh 500' kama sijaielewa
Hapana mkuu mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni... mie huwa natumia TMk supa uni... wako vzuri sana kwa siku 7 unapata dk 150 voda kwenda voda,dk 50 mitandao mingine,sms 2000,GB 1 za internet then watsap na fb bure vyote hivo kwa sh. 2000/= sasa hapo kweli ntaanzia wapi kuwalaumuHawa Vodacom Tanzania nilishaacha kununua vifurushi vyao. Nimebaki natumia kwenye Mpesa tu.
Mara ya mwisho nimejiunga na kifurushi cha dar supa UNI wakanipa Data GB1 na madakika, ukiwasha data simu inasoma 4G ila huwez ku-browse website yoyote (hata gugo iligoma) nikahisi labda niko location mbaya nikaenda maeneo mengine pia mambo ni hayo hayo. Hadi wiki inaisha sikumaza hata MB 1. Nyie voda nyie Mungu anawaona
Mmmmmhhh, tembelea JF uone maajabuvoda ukikwangua vocha ukasahau kuweka kwenye cm wanakata hata ikiwa mezani, ukanunua halaf hujaikwakungua jinsi walivyo waroho wanakutext "mbona hukwangui hio vocha? Ita expire ujue" wajamaa ni waroho kana kwamb hata kama simu imezima charge, ukipitsha vocha tu karibu inawaka. Blv me, sisemag uongo wala hata sijui bang ikoje
Mwenyewe natumia hii na inanisave sana.Hapana mkuu mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni... mie huwa natumia TMk supa uni... wako vzuri sana kwa siku 7 unapata dk 150 voda kwenda voda,dk 50 mitandao mingine,sms 2000,GB 1 za internet then watsap na fb bure vyote hivo kwa sh. 2000/= sasa hapo kweli ntaanzia wapi kuwalaumu
Hata mimi binafsi sina sababu ya kuhama voda kabisa.Hapana mkuu mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni... mie huwa natumia TMk supa uni... wako vzuri sana kwa siku 7 unapata dk 150 voda kwenda voda,dk 50 mitandao mingine,sms 2000,GB 1 za internet then watsap na fb bure vyote hivo kwa sh. 2000/= sasa hapo kweli ntaanzia wapi kuwalaumu
Unatumia kifurush kipi kwenu internet halotel?Mimi naendelea kukomaa tu na halotel ndo mtandao wangu usio na longolongo kweny internet mda wote
wapunguze bei la sivyo tunasepaKampuni kubwa ya kimataifa haina mikakati ya kibiashara,mnachekesha mno,na kama hakuna MTU anayewahujumu basi pigeni chini management yote ya "Sales and Marketing".
yaani nyie mna tabia zote za kichawi, kila siku mnabuni mbinu za kuwakamua wateja wenu,matokeo yake mnapoteza zaidi ya mil 200 kila wiki,Mteja aliyekuwa akipata MB au vocha kwa sh 500 per week ,sasa hivi mmeweka eti sh 20,000 kwa mwezi,mnadhani pesa zinaokotwa?
kwa hiyo mmepoteza zaidi ya wateja 100,000 ambao mlikuwa mkipata zaidi ya mil 30 kwa siku faida tu,after tax payment, 100,000 x 300=30,000,000.
nawafahamu mno aina ya watu mliowaajiri,lazima mfilisike tu,sijui walisoma uchumi wapi,kwa tuliosoma uchumi tunatambua slogan hii " the less money,the more money, the more money, the less money".
Nikiwa kama mtumiaji wa Voda nasema voda ndio mtandao wenye viwango nchi hii kama unataka MB 500 na unaish Dar kuna kifurushi cha Dar mb 500 instagram,whatsapp and facebook ni bure kwa sh 500
bado ni uhuni tu we nipe mb sio unichagulie face book au instagramNikiwa kama mtumiaji wa Voda nasema voda ndio mtandao wenye viwango nchi hii kama unataka MB 500 na unaish Dar kuna kifurushi cha Dar mb 500 instagram,whatsapp and facebook ni bure kwa sh 500
Mbona umemtusi bila sababu? Kasema voda iko poa, umemrudishia matusi!I'll poa kwa mama yako
Wewe data yako ni maalumu kwa fb, insta na whatsapp?Nikiwa kama mtumiaji wa Voda nasema voda ndio mtandao wenye viwango nchi hii kama unataka MB 500 na unaish Dar kuna kifurushi cha Dar mb 500 instagram,whatsapp and facebook ni bure kwa sh 500
Mbona umemtusi bila sababu? Kasema voda iko poa, umemrudishia matusi!