Vodacom na bado mtafilisika kabisa

Vodacom na bado mtafilisika kabisa

Hahahah alishtuka kwann mkuu.
Nadhani alihisi kuna kamchezo fulani. Mdada mmoja namkumbuka kwa jina la pili "Mhagama" aliyepo Njombe alipokea simu na kujieleza kama vile ni pesa ya malipo ya deni lake aliyokuwa akiisubiri. Kilangila.
 
Nadhani alihisi kuna kamchezo fulani. Mdada mmoja namkumbuka kwa jina la pili "Mhagama" aliyepo Njombe alipokea simu na kujieleza kama vile ni pesa ya malipo ya deni lake aliyokuwa akiisubiri. Kilangila.
 
Nadhani alihisi kuna kamchezo fulani. Mdada mmoja namkumbuka kwa jina la pili "Mhagama" aliyepo Njombe alipokea simu na kujieleza kama vile ni pesa ya malipo ya deni lake aliyokuwa akiisubiri. Kilangila.
Sasa usanii wanaufanya hao hao voda inakuwaje mtu wa voda anashtuka tena alafu wa bodi anang'aa sharubu? asee
 
Vodacom wamezidiwa sifa ni mfabyabiashara mwenya kiburi anaezani milele atakua yeye serikali kufumba macho nao wanatupiga tu wananchi pesa haiendani na huduma
 
Alivyo ondoka Kelvin Twisa basi tena Vodacom uwezo wao wa kufikiri uliporomoka sana wasipo jitazama watapoteza wateja sana.
Biashara ya sasaivi ni internet TTCL wakijipanua tu kidogo na coverage kufika sehemu Kubwa kuna watu watapotea kabisa nchi hiii.

Halotel nao wamekua wajinga
 
IMG_7909.JPG
afadhali na Artel 1000 siku 3
 
Halafu kuna utitiri wa vifurushi kuwachanganya watumiaji tu. Ulaghai huu utawatokea puani. Ngoja mheshimiwa asikie hala malalamiko kama hajawaambia TTCL watoe data bure uone kama mtabakia na mteja hata mmoja
 
Kampuni kubwa ya kimataifa haina mikakati ya kibiashara,mnachekesha mno,na kama hakuna MTU anayewahujumu basi pigeni chini management yote ya "Sales and Marketing".
yaani nyie mna tabia zote za kichawi, kila siku mnabuni mbinu za kuwakamua wateja wenu,matokeo yake mnapoteza zaidi ya mil 200 kila wiki,Mteja aliyekuwa akipata MB au vocha kwa sh 500 per week ,sasa hivi mmeweka eti sh 20,000 kwa mwezi,mnadhani pesa zinaokotwa?
kwa hiyo mmepoteza zaidi ya wateja 100,000 ambao mlikuwa mkipata zaidi ya mil 30 kwa siku faida tu,after tax payment, 100,000 x 300=30,000,000.
nawafahamu mno aina ya watu mliowaajiri,lazima mfilisike tu,sijui walisoma uchumi wapi,kwa tuliosoma uchumi tunatambua slogan hii " the less money,the more money, the more money, the less money".

umeongea kwa jazba sana ila ujumbe umefika mkuu
 
Back
Top Bottom