Vodacom na bado mtafilisika kabisa

Vodacom na bado mtafilisika kabisa

Yawezekana wana ubaguzi kwa wateja (natania). Nimenunua kifurushi cha dar supa UNI nikiwa mikocheni net ikagoma, nikaenda kawe kuwasha net hamna kitu. Nikasogea tangi bovu mambo yakawa yale yale. Nikaenda mwenge nako kifurushi hakiungi net. Sikua na namna tena zaidi ya kuwapotezea na kurudi kwa mtandao wangu wa zaman

Uko sahihi kabisa mkuu......najua wanacho fanya ni Market strategy ila ni strategy zilizo na ka ubaguzi flani haiwezekani mtoe kiasi sawa cha pesa na mpatiwe huduma tofauti......haiwezekani eneo moja liwe na unafuu wa huduma eneo jingine liwe na ughari wa huduma.
 
Shida n kwamba sio wote tunanunua mb kwa ajil ya fb,whatapp au instagram. Kwel mfumo wa vodacom siuelewi coz jinsi unavyotumia zaid na bei ndio inapanda badala ya kushuka

Sure naona watakuwa wameiga mfumo wa Tanesco.
 
Uni ofer za voda wamenipa gb 2 + 2 za usiku kwa Tsh 2500 ila bado sijajua usiku wao unaanza saa ngap,anayejua anifahamishe!
 
voda ukikwangua vocha ukasahau kuweka kwenye cm wanakata hata ikiwa mezani, ukanunua halaf hujaikwakungua jinsi walivyo waroho wanakutext "mbona hukwangui hio vocha? Ita expire ujue" wajamaa ni waroho kana kwamb hata kama simu imezima charge, ukipitsha vocha tu karibu inawaka. Blv me, sisemag uongo wala hata sijui bang ikoje
I viroba hivi
 
Embu tujuzane wakubwa, hivi ni kitu gani haswa zinafanya mitandao hii huduma zao hasa hizi vifurushi vya Internet kuwa ghali zaidi kadiri miaka inavyokwenda?
 
Vodacom kesho kukicha nitakuwa ndio mwisho wa kutumia bando lao la vifurishi vya data..wakafie mbele na msemo wao " Yajayo yanafurahisha"
 
Vodacom wameanza kulimia meno na kuishi kama mashetani, so as their esteemed customers
 
vodacom ni majambazi,wauwaji wasiye tumia silaha. wanatakiwa wajumuishwe na kina mredii na kampani yake
 
Uni ofer za voda wamenipa gb 2 + 2 za usiku kwa Tsh 2500 ila bado sijajua usiku wao unaanza saa ngap,anayejua anifahamishe!
Inaanza usiku saa 5 hadi saa kumi 11 alfajiri.
Ikishafika muda huo tu automatically bando la mchana linasimama then linaanza kutumika la usiku.
 
Back
Top Bottom