Vodacom na bado mtafilisika kabisa

Vodacom na bado mtafilisika kabisa

The more money, the less money haaaaah uchumi uliosoma ni wa yale magari yanayopaki jangwani... Just jork my
mkuu unajua maana yake, yake demand ya pesa ndogo ni pana sana, kwa pesa ndogo unaweza kufikia watu wengi mno wa kada mbalimbali, pesa nyingi utapata wachache na kukosa mapato, mfano sigara moja ikiuzwa sh 1000 mapato lazima yashuke, sigara zitakosa wanunuzi.
 
hivi na yote haya bado mmpo tuu! Na kuna mitandao zaidi ya mitano humu humu?? uvivu ukichanganyika na uoga na ujinga, walah umasikini hautakaa ukuishe. tena wa mawazo na mwishowe wa mali!
 
Nyie mnaosema ttcl jiangalieni sana!. Mmeniingiza chaka nmeenda kusajili laini kumbe upumbavu mtupu!. Eti 10GB kwa 5000 lkn 1 mchana na 9GB usiku kwa siku 7.
Usiku mi mlinzi au mi Mshana Jr. kuwa nakesha!?

Mshana Jr natania tu mkuu
 
Nikiwa kama mtumiaji wa Voda nasema voda ndio mtandao wenye viwango nchi hii kama unataka MB 500 na unaish Dar kuna kifurushi cha Dar mb 500 instagram,whatsapp and facebook ni bure kwa sh 500
Kwangu mie hiyo 500MB inaisha ndani ya robo saa. Nilikuwa napata 3GB kwa sh 2000 kwa siku 5, sasa hivi ni 350MB kwa sh 2000. Washanikosa.
 
Nyie mnaosema ttcl jiangalieni sana!. Mmeniingiza chaka nmeenda kusajili laini kumbe upumbavu mtupu!. Eti 10GB kwa 5000 lkn 1 mchana na 9GB usiku kwa siku 7.
Usiku mi mlinzi au mi Mshana Jr. kuwa nakesha!?

Mshana Jr natania tu mkuu
Screenshot_20180520-111704.jpg
 
mm tangu mwaka Jana ckawahi weka vocha voda naweka v m Pesa kidgo ili line isifungiwe
nimeamia halotel wapo vizur,Nina laini ya Chuo halotel
voda kifurushi cha SMS mwez ilikuwa 1000,1500 sasa n 2000 wakati halotel n 1000 tu
voda IPO tu wala siitumii
 
mm tangu mwaka Jana ckawahi weka vocha voda naweka v m Pesa kidgo ili line isifungiwe
nimeamia halotel wapo vizur,Nina laini ya Chuo halotel
voda kifurushi cha SMS mwez ilikuwa 1000,1500 sasa n 2000 wakati halotel n 1000 tu
voda IPO tu wala siitumii
Hivi mnatumia vifurushi gani halotel mpaka msifie hivyo?
Mi nina tigo,halotel na voda zote za chuo lkn sijaona uzur wa halotel zaid zaid nikienda kijijin ndio network yake ya uhakika napata H+
 
Hivi mnatumia vifurushi gani halotel mpaka msifie hivyo?
Mi nina tigo,halotel na voda zote za chuo lkn sijaona uzur wa halotel zaid zaid nikienda kijijin ndio network yake ya uhakika napata H+
halotel wapo vizur idara zote,dk,SMS had mb
 
LsE="Kajole, post: 27184594, member: 41710"]Unatumia kifurush kipi kwenu internet halotel?[/QUOTE]
Natumia kifurushi cha chuo laini za chuo zinapatikana kiurahisi
 
LsE="Kajole, post: 27184594, member: 41710"]Unatumia kifurush kipi kwenu internet halotel?
Natumia kifurushi cha chuo laini za chuo zinapatikana kiurahisi[/QUOTE]Bora Voda aisee ya chuo. Mi nin laini zote za chuo yaan Voda,Tigo na halotel!. Hebu compare hapa boss:

-Halotel chuo ni Tshs 1500 dakika 150,sms bila kikomo na mb 800
-vodacom chuo ni Tshs 1500 dakika 170 sms bila kikomo na GB 2
 
Back
Top Bottom