Vodacom mnatuumiza wateja wenu

Vodacom mnatuumiza wateja wenu

Mkuu nimefanikiwa kuongea na mtoa huduma two times, lakini wamenijibu mashudu. Nadhani decision ni kutafuta line ya haloteli.
Yaani ukipiga simu huduma kwa wateja Vodacom Tanzania kuna uwezekano wa 95% ya kukujibu utumbo, yaani sijui wana haraka gani ya kuprocess complaints za Wateja!!! Wanakujibu jibu lolote linalokuja mdomoni mwao muda huo
 
Tangu nimekopa m-pawa umepita miezi miwili sasa na hiyo hela wasahau huduma za kifedha nitatumia tigo pesa
 
Kweli kabisa mkuu ndio maana nikasema wameajiri watu wasokuwa na sifa.
Yaani ukipiga simu huduma kwa wateja Vodacom Tanzania kuna uwezekano wa 95% ya kukujibu utumbo, yaani sijui wana haraka gani ya kuprocess complaints za Wateja!!! Wanakujibu jibu lolote linalokuja mdomoni mwao muda huo
 
Ni kweli mkuu..ila niliwahi kusikia wanapewa sekunde kadhaa za kuongea na mteja na hawatakiwi kuongeza muda(kutumia muda mrefu kuongea mteja)...Sasa kama hii ni kweli basi ni chanzo cha huduma mbovu kwa Wateja na sijui hata mantiki ya kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom