Namimi sina hamu Vodacom naungwa na huduma ambayo sijahitaji halafu nakatwa sh.100 kila siku Huduma ya kucheza na gemu haina mashiko kwangu sipendi kucheza gemuUhamie wapi mkuu mi Nina laini ya tigo nikijiunga internet ya week inaisha kama upepo
Namimi sina hamu Vodacom naungwa na huduma ambayo sijahitaji halafu nakatwa sh.100 kila siku Huduma ya kucheza na gemu haina mashiko kwangu sipendi kucheza gemuUhamie wapi mkuu mi Nina laini ya tigo nikijiunga internet ya week inaisha kama upepo
Ila bora ubaki voda halotel internet yao ni kama KobeNamimi sina hamu Vodacom naungwa na huduma ambayo sijahitaji halafu nakatwa sh.100 kila siku Huduma ya kucheza na gemu haina mashiko kwangu sipendi kucheza gemu
Wezi wa vifurushi hakuna mifano, GB kufungua what's app masaa 2 imeisha hapo hauja download hata video moja nimeichoka voda, sahizi naifanya kama simu ya mezani labda habari za M-pesa si wizi mpaka niliwafuata nakuwauliza embu angalieni kitu gani natumia hakuna, eti labda kuna mtu alitumia hivi inaingia akilini kweli? Mie naishi na panya wakuiba MB daa, kutumia internet ya voda hapana si kwamaumivu haya, japo nimekuwa nayo miaka mingi kweli.
Vodacom ni washenzi
Hadi niliwafuata nikawauliza jamani MB zinashuka kama maji ya mlima ,akawa anajiuma uma tu, basi internet yao nishaiweka kandoMkuu ndio walichonifanyia mie, eti nimekopa, dah kwakweli nimejisikia vibaya. Nimeacha kutumia internet yao, kwanza ghali, halafu wanatuibia bando.
Namimi sina hamu Vodacom naungwa na huduma ambayo sijahitaji halafu nakatwa sh.100 kila siku Huduma ya kucheza na gemu haina mashiko kwangu sipendi kucheza gemu
Kwa akili ya kawaida simu haiwezi kujiunga kwenye huduma yenyewe..
Pengine umejiunga bila kukusudi/bila kujua... Mfano kuna code ukiweka zilizoko kwenye matangazo inajiunga direct. Au
Mtu katumia simu yako akajiunga kwa maksudi au bahati mbaya
Hadi niliwafuata nikawauliza jamani MB zinashuka kama maji ya mlima ,akawa anajiuma uma tu, basi internet yao nishaiweka kando
Niliwafuata ofisini kwao akaangalia kwenye system yao hakuwa na jibuHilo swali ukiwauliza watakujibu umetumia mwenyewe. Mie pia walishanijibu hivyo.
GB zakutumia wiki inaisha kwa masaa 2 tu hapo umefungua JF kama na what's app si bora hata huyo Kobe!Ila bora ubaki voda halotel internet yao ni kama Kobe
Simu yako ilijipiga,
.ukawa huna salio, ukaja ujumbe bonyeza1 kupata mkopo, ikajibonyeza, hivyo ndivyo imekuwa.
Tengebeza simu yako
Simu yako ilijipiga,
.ukawa huna salio, ukaja ujumbe bonyeza1 kupata mkopo, ikajibonyeza, hivyo ndivyo imekuwa.
Tengebeza simu yako
GB zakutumia wiki inaisha kwa masaa 2 tu hapo umefungua JF kama na what's app si bora hata huyo Kobe!
INATEGEMEA UPO ENEO GANI MKUU, MIMI ENEO NILIPO INTERNET YA HALOTEL INA SPEED KULIKO YA VODACOM ILA UMEME UKIKATIKA TU NA INTERNET YA HALOTEL INAKATIKA.Ila bora ubaki voda halotel internet yao ni kama Kobe
Sawa bhana🤐.. ila kama hayo unayo yahisi kuhusu hao majamaa nikweli KAZI IPOYani hayo yote unayosema hayapo mkuu, hadi nimekuja public ina maana nimeumizwa. Simu nilikuwa nayo mwenyewe na nilikuwa siitumii sasa. Voda kama huwajui mkuu jaribu uone.