Vodacom mnatuumiza wateja wenu

Vodacom mnatuumiza wateja wenu

Na ukipiga huduma wa wateja wale wadada wanaonekana wengi hawana experience au wengi wao hawajui kazi zao, mtu unampigia simu anapokea anakwambia wewe huna mkopo, wakati yeye yupo kwenye system na anaona, nikampigia mwengine hapo hapo customer care huyu anajibu kirahisi kabisa eti wewe umekopa mwenyewe nikamwambia ningekuwa nimekopa ningepiga simu hapa ofisini kwenu? They are so Poor
I think you mean stupid
 
Mimi naomba msaada jinssi ya kufuta namba kwenye menu ya MPESA unapotuma pesa KIPENGELE CHA CHAGUA KWENYE ORODHA. Kwnye orodha kuna namba za simu sizitambui, nilienda vodashop wakasema hawawezi kuziondoa, nikapiga 100 nao wakasema hawawezi kuzifuta.
Hizo zitakua za hao hao customers care....wana wahuni kinoma
 
Halotel ina speed kubwa sana! Pengine upo sehemu za Madaba vinginevyo halotel is super!
 
Hamia Zantel mkuu. Mimi siku hizi Voda naitumia kwa M-PESA tu. Bundle zao za internet ni majanga. Unaweza kununua Gb moja baada ya nusu saa unaambiwa kifurushi kimeisha na wala hujadownload hata video yoyote labda umeperuzi website mbili tatu tu. Mhh!
 
Duh! Kumbe ni kweli? Hili tatizo la kulazimishwa mkopo nimelisikia hapa kitaa muda huu mtu akilalamika 🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆

vodacom mtuambie mmekwama wapi?
 
Milijua ni simu yangu aise..kwenye simu yangu nimefunga apps karibu zooote zimebaki nne tu..lakini hizo mb zinavyomwagika hadi huruma

Bora mihamie Halotel au Zantel.

@ Vodacom Tanzania mje mjibu tubum huku
 
Hamia Zantel mkuu. Mimi siku hizi Voda naitumia kwa M-PESA tu. Bundle zao za internet ni majanga. Unaweza kununua Gb moja baada ya nusu saa unaambiwa kifurushi kimeisha na wala hujadownload hata video yoyote labda umeperuzi website mbili tatu tu. Mhh!
Ni kweli kabisa aiseh
 
Ila halotel kwenye internet ni wababaishaji balaaaa. Net yao ipo slow sana na vilevile haipatikani kwa ubora maneo mengi nchi hii hasahasa mikoani
 
Voda ujinga walioufanya nikwenye vifurushi vya maongezi voda to voda dakika unapewa mpaka zingine huwezi maliza, ila voda tomitandao mingine, ndio changamoto ni ghali sana
 
Ila halotel kwenye internet ni wababaishaji balaaaa. Net yao ipo slow sana na vilevile haipatikani kwa ubora maneo mengi nchi hii hasahasa mikoani
Mimi ninapoishi Arusha sipati kabisa internet ya Halotel kws hiyo line yao nimeiweka kabatini
 
Mimi ninapoishi Arusha sipati kabisa internet ya Halotel kws hiyo line yao nimeiweka kabatini
Unachosema ni kweli, mimi mwenye nipo mbeya maeneo ya mjini unapata 4G ila ukiwa nyumbani hamnakitu, hatamimi natumia voda hasakwenye internet
 
Voda mambo gani haya,
Nanunua kifurushi cha social bundle cha mwezi mzima, MB bado zipo za kumwaga lakini bundle halifanyi kazi ( siwezi kulitumia, lipo tu) ila nikijiunga bundle jipya inakubali ila hili la mwezi ni kama maua tu siwezi tumia.
 
Na wameajiri watu wasio na uzoefu, piga customer care now toa malalamiko yako hutopata majibu yanayojitosheleza, mimi nimelalamika jambo hili hadi nikapiga simu sikupata majibu yakuridhisha mwishoni nikamjibu yule dada huna jibu la swali langu nitawapandia hukohuko maofisini mlipojifungia.
Tatizo lao ni kutojibu malalamiko ya wateja,lakini unaweza kuta kuna sababu ya msingi ya ni kwanini gb zinaisha haraka. Mkiangalia video kwa dakika moja mmoja akiwa kwenye 4k na mwingine SD ulaji wa gb utatofautiana
 
Back
Top Bottom