Raia Mtata
JF-Expert Member
- Feb 4, 2017
- 326
- 616
Habarini waungwana
Kwanza napenda kusema mimi ni mteja wa kampuni ya Vodacom Tanzania kwa takribani miaka 18, ni kati ya wale wateja wa mwanzo tulioanza kuitumia vodacom tanzania.
Kwa masikitiko napenda kusema nimeacha kutumia huduma za vodacom kwakuwa haziridhishi, vifurushi ghali na ukiweka vinatembea kama upepo.
Jambo lililofanya niandike huu uzi ni kitendo ambacho vodacom wamekianzisha, wanakupa mkopo wa salio huku ukiwa hujaomba, yani sasa hali imekuwa ngumu hadi tunalazimishwa kukopa salio kwa riba? Kitendo hiki kimenikera kwa kuwa vodacom wana huduma so Poor.
Yani bora hata wangekuwa na huduma za kuridhisha tungeweza kupotezea lakini wana huduma so poor halafu wanatulazimisha kuchukua mikopo kwa riba? mjirekebishe watanzania wanategemea vitu vikubwa kutoka kwenu kututendea mambo haya ni kama usaliti.
Kwanza napenda kusema mimi ni mteja wa kampuni ya Vodacom Tanzania kwa takribani miaka 18, ni kati ya wale wateja wa mwanzo tulioanza kuitumia vodacom tanzania.
Kwa masikitiko napenda kusema nimeacha kutumia huduma za vodacom kwakuwa haziridhishi, vifurushi ghali na ukiweka vinatembea kama upepo.
Jambo lililofanya niandike huu uzi ni kitendo ambacho vodacom wamekianzisha, wanakupa mkopo wa salio huku ukiwa hujaomba, yani sasa hali imekuwa ngumu hadi tunalazimishwa kukopa salio kwa riba? Kitendo hiki kimenikera kwa kuwa vodacom wana huduma so Poor.
Yani bora hata wangekuwa na huduma za kuridhisha tungeweza kupotezea lakini wana huduma so poor halafu wanatulazimisha kuchukua mikopo kwa riba? mjirekebishe watanzania wanategemea vitu vikubwa kutoka kwenu kututendea mambo haya ni kama usaliti.