Angalia call settings, calls zako zinakuwa diverted kwenda kwa huyo mdada. Hehehe i hope sio janja janja.
Hii mitandao ina shida sana, mimi nasumbuliwa na tigo nikimtumia wife sms wanamtumia za zamani sana mpya haiendi au waunganisha kipande cha mpya na ya zamani nshawapigia lkn tatizo linaendelea tu, siku wakichukua sms ya mchepuko waipeleke kwa wife ndipo maji nitaita mma.
hii mitandao ina shida sana, mimi nasumbuliwa na tigo nikimtumia wife sms wanamtumia za zamani sana mpya haiendi au waunganisha kipande cha mpya na ya zamani nshawapigia lkn tatizo linaendelea tu, siku wakichukua sms ya mchepuko waipeleke kwa wife ndipo maji nitaita mma.
Hii mitandao ina shida sana, mimi nasumbuliwa na tigo nikimtumia wife sms wanamtumia za zamani sana mpya haiendi au waunganisha kipande cha mpya na ya zamani nshawapigia lkn tatizo linaendelea tu, siku wakichukua sms ya mchepuko waipeleke kwa wife ndipo maji nitaita mma.
ni ngumu mkuu hi lain ina mda mrefu tangia 2006.labda voda waniambie haiwezekani nahakuna option nyngne