Vodacom imetutangazia hasara vipi kuhusu faida na fedha za CSR?

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Nimemuona CEO wa Vodacom akijiingiza kwenye Siasa kwa kujidai kuonesha hasara wanayoipata eti watu kuacha kutumia miamala.
Sijawahi kumsikia akitutajia faida ipatikanayo na zaidi sijawahi kusikia shule,zahanati ,au kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za Corporate Social Responsibility kutoka vodacom.
 
Nimemuona CEO wa Vodacom akijiingiza kwenye Siasa kwa kujidai kuonesha hasara wanayoipata eti watu kuacha kutumia miamala.
Sijawahi kumsikia akitutajia faida ipatikanayo na zaidi sijawahi kusikia shule,zahanati ,au kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za Corporate Social Responsibility kutoka vodacom.
Argument yako ninini hasa?
 
Nimemuona CEO wa Vodacom akijiingiza kwenye Siasa kwa kujidai kuonesha hasara wanayoipata eti watu kuacha kutumia miamala.
Sijawahi kumsikia akitutajia faida ipatikanayo na zaidi sijawahi kusikia shule,zahanati ,au kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za Corporate Social Responsibility kutoka vodacom.
wewe ndo unaleta siasa za kijinga ,CEO wa Vodacom yeye ndo anaona hasara na takwimu ya watumiaji wa miamala inavyoshuka ,we baki kukata mauno huna facts
 
wewe ndo unaleta siasa za kijinga ,CEO wa Vodacom yeye ndo anaona hasara na takwimu ya watumiaji wa miamala inavyoshuka ,we baki kukata mauno huna facts
Takwimu zilivyokuwa zinapanda mbona hakusema?Tukiwarank kwenye ulipaji kodi wanatokea number ngapi?
 
Nimemuona CEO wa Vodacom akijiingiza kwenye Siasa kwa kujidai kuonesha hasara wanayoipata eti watu kuacha kutumia miamala.
Sijawahi kumsikia akitutajia faida ipatikanayo na zaidi sijawahi kusikia shule,zahanati ,au kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za Corporate Social Responsibility kutoka vodacom.
Kama hujawahi kusikia kazi iliyofanywa na Vodacom foundation utakuwa lipumbavuuu!
 
Nimemuona CEO wa Vodacom akijiingiza kwenye Siasa kwa kujidai kuonesha hasara wanayoipata eti watu kuacha kutumia miamala.
Sijawahi kumsikia akitutajia faida ipatikanayo na zaidi sijawahi kusikia shule,zahanati ,au kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za Corporate Social Responsibility kutoka vodacom.

Mchungaji makini ni yule anayeacha ng'ombe wake 99 na kwenda kumtafuta m1 aliyepotea.
 
Corporate Social Responsibility huwa inatakiwa kulipwa na wawekezaji kama Vodacom tu au ni Kila mwekezaji hapa nchi?
 
Nimemuona CEO wa Vodacom akijiingiza kwenye Siasa kwa kujidai kuonesha hasara wanayoipata eti watu kuacha kutumia miamala.
Sijawahi kumsikia akitutajia faida ipatikanayo na zaidi sijawahi kusikia shule,zahanati ,au kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za Corporate Social Responsibility kutoka vodacom.
Wewe jamaa unaponzwa tu na hili jina lako! jingalao! Kwa ujinga wako, unadhani kila mtu anapenda/anafurahishwa na porojo na upuuzi wa yule jingalao mwenzako Mwigulu Nchemba!
 
Nimemuona CEO wa Vodacom akijiingiza kwenye Siasa kwa kujidai kuonesha hasara wanayoipata eti watu kuacha kutumia miamala.
Sijawahi kumsikia akitutajia faida ipatikanayo na zaidi sijawahi kusikia shule,zahanati ,au kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za Corporate Social Responsibility kutoka vodacom.
Hii ndio sababu ya Tanzania kupandishiwa tozo yaani jamaa kasimama na kutoa pointi hizo ili Tozo zifutwe na wewe unaleta hoja gani.
Kweli kama CCM Music Inavyo sound kwamba tutaisoma namba
 
Back
Top Bottom