Vodacom Hawajitambui.

Vodacom Hawajitambui.

Ujinga wa halotel hio 1GB yao ni kiini macho tu, wanakupeni 600MB unadanganywa ni 1GB ukiingia youtube na instagram kidogo tu ishaisha.

mie wamentumia sh.50 eti gawio. Wasenge kweli hawa mbuzi wa hitima
Juzi nimekaa naona m pesa text nikajuwa labda Kuna kiumbe kimenikumbuka kumbe gawio eti sh 119 daaaah
 
Voda nawapenda kwenye calls za voda-voda, Mpesa na Mpawa! Kwingine ni takataka!
 
Sahivi nimeamka nimekuta wamentumia 235 tena. Ati ni gawio, wanahisi ntawahanya idiots mburukenge
Hahahahahaah eti gawio kila week mweeeh.... Yaani Voda Nikitaka kutumia nmb click na nunua mb 30 za 200 sh nafungua hiyo app nafanya mambo yangu natoka na laini yenyew naitoa kwenye simu mambo yasiwe mengi
 
Huwa nawashangaa sana wanaotumia voda kwa huduma ya kupiga Simu na internet,gharama zao ziko juu na vifurushi vyao ni vya kipuuzi sana,Mimi mdau Wa Airtel kwa sh 10,000 unapata dakika 450 mitandao yote na mb kibao kwa mwezi,kwangu Mimi airtl ni mkombozi
Voda unapata dk tu. 10k kwa dk 450 mitandao yote.
 
ime nibidi nirudi nyumbani sasa maana Tshs 1000 napewa MB250 ambapo simu yenyew 4g niki browse IG mara 2 tu kifurushi kinakua kwishney



TTCL
Hongera!Furahia GB5 za intanet kwa siku 30 kwa Tshs. 5,000.Tafadhali maliza kifurushi hiki kabla ya kujiunga na kingine.
Hakika Nyumbani kumenoga
Spidi ni 4G+
Mwenye macho haambiwi tazama.
 
Kumbe dawa sio kuwatuma malaika waje wazime mitandao ni kupandisha bei tu. 50mb kwa 10k.

Cc: TCRA
 
Jaribuni na Airtel kwenye ofa yako.
1000 = 50 mnts all networks 30 days
1000= 250 mnts airtel airtel, 10 mnts all ntwks 30 days.
 
Jaribuni na Airtel kwenye ofa yako.
1000 = 50 mnts all networks 30 days
1000= 250 mnts airtel airtel, 10 mnts all ntwks 30 days.
Mkuu watu siku hizi hawahitaji sana dk..wanalalamikia mbs
 
voda nishawakimbia wanasumbua sana, pia customer care za Moshi ni mbuvu dunia nzima, waudumu wanajibu vibaya hasa kwenye jengo jipya la NSSF kunajamaa mmoja mnene mnene hivi anajisikia vibaya sana usipo jizuia lazima utoke umekasilika ukiingia ofice zao and than they don't care VODACOM MOSHI JILEKIBISHEN BORA UWENDE KWA VISHOKA KU RENEW LAINI KULIKO KWENDA OFICIN KWENU
Mnene yule anayenyoa style Fulani hivi si ndiyo?
 
Et Alfu tano unapata 1.5 GB Voda they not serious at all Haahaa
 
Screenshot_20190627-102056.png
 
Huwa nawashangaa sana wanaotumia voda kwa huduma ya kupiga Simu na internet,gharama zao ziko juu na vifurushi vyao ni vya kipuuzi sana,Mimi mdau Wa Airtel kwa sh 10,000 unapata dakika 450 mitandao yote na mb kibao kwa mwezi,kwangu Mimi airtl ni mkombozi
Airtel kwenye dakika nadhani hawana mpinzani...ila MSG tu ndio wanaponichosha...vifurushi vyao vyote msg wanabania,sijawahi jiunga kifurushi cha wiki msg zikafikisha sku 3... cha mwezi msg ntaenda nazo 2wks kwisha...

Imenibidi saivi kila mtandao una kazi yake

TIGO : msg

AIRTEL : dk

TTCL : DATA
 
Back
Top Bottom