diwani tajiri
Senior Member
- Oct 14, 2017
- 161
- 791
Kwa kweli voda wamekuwa vichomi. Sema tuu hatuna sehemu ya kusemea haya. Mahali wanakera ni kwamba unaeweka vocha sana ndio unazidi kupandishiwa bei na asiyeweka kabisa anazidi kushushiwa. Baada ya kuchoka niliamua kuhamia hallotel ikawa nafuu kukiko voda.



