Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,084
- 8,855
Mi nipo zangu huku..
Airtel au?View attachment 1140484
Mi nipo zangu huku..
Halotel hiyo, airtel network yao haijakaa poa.Airtel au?
Unanishawish niwarudieHalotel hiyo, airtel network yao haijakaa poa.
Try this *149*42#
Airtel haina 4G. Ina 3G tu.Huwa nawashangaa sana wanaotumia voda kwa huduma ya kupiga Simu na internet,gharama zao ziko juu na vifurushi vyao ni vya kipuuzi sana,Mimi mdau Wa Airtel kwa sh 10,000 unapata dakika 450 mitandao yote na mb kibao kwa mwezi,kwangu Mimi airtl ni mkombozi
Cool, nilikuwa naangalia tu matumizi ya wastani.Kwa wastani siku 4 hadi 5, japo najiunga kwa ajili ya siku 7.
Huku ndio baba lao na dakika ni 100Naenda zangu Halotel yaan 1000 napata GB1 Sms 500 na dakika 50 siku 7
Hapo kwenye updatehawa samaki ni wapuuzi.
yaani jinsi unavyozidi kuwa mteja mtiifu kwa kuwachangia mia mia zako,ndio nao wanakufanya ng'ombe wa maziwa.
mimi ya kwako tu kwa siku ilikuwa gb 1 na dakika sms kibao nikawa naridhika safi tu,heghafla naamka siku moja mwezi uliopita nakuta wameporomosha mpaka 500mb,nikawadharau kabisa.
kabla sijawapa taraka nikawakopa kabisa,huku nasonya.
UPDATE:
hatimaye tigo nao wameamua kuunga mkono huu utapeli.





umenivunja mbavu



😂😂😂😂😂
Kifurushi changu pendwa kimeingia doa.
Nikiwa mtumiaji mkubwa wa internet hiki kilikuwa kifurushi changu pendwa.
Tsh. 2500 kwa 500MB ni unrealistic hata kama una hela kiasi gani.
Sitawahama voda, ntaendelea kutumia kwa kupiga na sms.
Ila kwa upande wa internet ntatumia Smile. Kwa Tsh. 14500 napata 10GB ambayo unaipata kwa Tsh. 50K kwa voda.
Kwaheri internet ya voda.View attachment 1138880
Na kanda ya ziwa pia*148*00# unaenda kwenye ofa maalum then University ofa unachagua ila ni baadhi ya maeneo Moshi na Arusha