Vodacom Hawajitambui.

Vodacom Hawajitambui.

Voda wananitia hasara mno kila siku najiunga uni lakini kufika siku inayofuata kifurushi kinakata

Itabidi nifufue malaini yangu ya mitandao mingine
 
Hawa jamaa hawana maana kabisa...
IMG_20190608_200203.jpeg
 
TTCL wananiboa kitu kimoja...ukiwa na MB huwezi nunua kifurushi kingine kabla hujamaliza MB ulizonazo,ukijiloga tu eti ununue mb 500 mara mbili ili upate 1GB imekula kwako. (hela wanachukua na kifurushi hupati unabaki na mb 500 zako)

cute b
 
Udhaifu wa watoa huduma wa mitandao ilee ndo sabab ya voda kutunyanyasa
 
Jamaa wana mambo ya hovyo sana voda,siyo bando ti,leo nmetuma hela kutoka mpesa kwenda benk nmekatwa hela nyingi utafikiri wananikomoa,mi na voda kwa heli ya kuonana sitaki hata kuiskia *****
Hao jamaa usipojua makato yao utalia... Kuna siku nilikuwa nawalipa watu toka Bank kwenda Mpesa mbona nilijuta..
 
Back
Top Bottom