Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,618
labda kwa sasa maana niliwabullshit nadhani ni zaidi ya miezi 6 sasaAcha uongo mkuu mimi nimedownload zaidi ya muvi 3 kwa GB 3 hizohizo
labda kwa sasa maana niliwabullshit nadhani ni zaidi ya miezi 6 sasaAcha uongo mkuu mimi nimedownload zaidi ya muvi 3 kwa GB 3 hizohizo
Mpk iwe ya chuo lakiniAisee hii afadhali..ngoja nihamie huko
Yes, unfair treatment.
Am totally bewildered.... I don't know where I should touchYes, unfair treatment.

Hahahahah, just stay strong.Am totally bewildered.... I don't know where I should touch![]()
2nd time for me to be strongHahahahah, just stay strong.

Watu mna maneno jamani
Mkuu kwani we wapi mpaka tarime mjini inasoma RTTCL sina imani nao sana n wao.
Niliendaga Tarime mjini kabisa ikawa inasoma R
Mimi wa DarMkuu kwani we wapi mpaka tarime mjini inasoma R
Unakuja lini mkuu huko ulikosema inasoma RMimi wa Dar
Next week inshallah. Nikiokota ticket mapemaUnakuja lini mkuu huko ulikosema inasoma R




Hao jamaa usipojua makato yao utalia... Kuna siku nilikuwa nawalipa watu toka Bank kwenda Mpesa mbona nilijuta..Jamaa wana mambo ya hovyo sana voda,siyo bando ti,leo nmetuma hela kutoka mpesa kwenda benk nmekatwa hela nyingi utafikiri wananikomoa,mi na voda kwa heli ya kuonana sitaki hata kuiskia *****
Au sio PyepyepyeNext week inshallah. Nikiokota ticket mapema![]()