Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,620
I know, money is tight!Sina hela ya kutupa babe
I know, money is tight!Sina hela ya kutupa babe
Kwa nini uvunje? Ziache tu pengine kuna siku utazihitaji kwa matumizi mengineNavunja laini zote za voda kesho...
Yani buku mb 50??
Aisee hapana
Kumbe je....I know, money is tight!
TTCL 2,500 ni 3gb, hizo mb500 wamezidiwa na kifurushi cha 500 cha ttcl ambacho unapata mb600Kifurushi changu pendwa kimeingia doa.
Nikiwa mtumiaji mkubwa wa internet hiki kilikuwa kifurushi changu pendwa.
Tsh. 2500 kwa 500MB ni unrealistic hata kama una hela kiasi gani.
Sitawahama voda, ntaendelea kutumia kwa kupiga na sms.
Ila kwa upande wa internet ntatumia Smile. Kwa Tsh. 14500 napata 10GB ambayo unaipata kwa Tsh. 50K kwa voda.
Kwaheri internet ya voda.View attachment 1138880
Hawa jamaa dawa yao ni kuwa na laini nyingi wakipinguza vifurushi we nae unahama hiyo laini na kuhamia kwenye nyingine ambayo hujaitumia mda. Na wakiona umeiterekeza laini yao kwa mda wanarudisha vifurushi ili wakushawishi kuitumia ndo tunavoenda nao hawa nyau sio voda tu hata tigo na nk.
hahahah utaki ufalaMie ipo tu kwaajili ya kupokea simu in case mtu kapiga, wakijisikia waifunge tu.
hawafai hao mmbwaHuwa nawashangaa sana wanaotumia voda kwa huduma ya kupiga Simu na internet,gharama zao ziko juu na vifurushi vyao ni vya kipuuzi sana,Mimi mdau Wa Airtel kwa sh 10,000 unapata dakika 450 mitandao yote na mb kibao kwa mwezi,kwangu Mimi airtl ni mkombozi
Ni kampuni ya mawasiliano kama voda
Ujinga wa halotel hio 1GB yao ni kiini macho tu, wanakupeni 600MB unadanganywa ni 1GB ukiingia youtube na instagram kidogo tu ishaisha.Naenda zangu Halotel yaan 1000 napata GB1 Sms 500 na dakika 50 siku 7
Bei za vifurushi vyao vipoje?Ni internet tuu. Hawana huduma ya Voice data
Ujinga wa halotel hio 1GB yao ni kiini macho tu, wanakupeni 600MB unadanganywa ni 1GB ukiingia youtube na instagram kidogo tu ishaisha.Naenda zangu Halotel yaan 1000 napata GB1 Sms 500 na dakika 50 siku 7
😂😂😂😂😂 mie wamentumia sh.50 eti gawio. Wasenge kweli hawa mbuzi wa hitimanimewaacha naona wananitumia buku buku mpesa eti gawio,sijui wananifananisha na serikali.
Mimi mwenyewe nina laini ya voda toka mwka 2008 hadi leo now nimiibadisha kuwa ya chuo angalau gharama sio kubwa sana kununulia vifurushi ila pamoja na hayo kwenye net natumia halotel kifurushi cha royal inanipa internet bila kikomo mwezi mzima hata nishinde youtu.be mda wote na dakika 200 au 100 mitandao yote pia na ttcl laini ya chuo wako vizur 2500 inanipa gb3 kwa wiki ukita na dakika na sms wanakupakwa 2500 ila gb inapungua ni 2na nusu au 500 kwa mb 600 yaani nyumbani now kumenoga sana.
Karbu tgo mzee. Hizo 10 gb unazipata kwa 10k tu. Plus madakika na mbs kibao. Kwa mwez mzimaKifurushi changu pendwa kimeingia doa.
Nikiwa mtumiaji mkubwa wa internet hiki kilikuwa kifurushi changu pendwa.
Tsh. 2500 kwa 500MB ni unrealistic hata kama una hela kiasi gani.
Sitawahama voda, ntaendelea kutumia kwa kupiga na sms.
Ila kwa upande wa internet ntatumia Smile. Kwa Tsh. 14500 napata 10GB ambayo unaipata kwa Tsh. 50K kwa voda.
Kwaheri internet ya voda.View attachment 1138880