VOA: Godbless Lema amvaa Waziri mkuu Pinda

VOA: Godbless Lema amvaa Waziri mkuu Pinda

Mwigulu ndio anaanza kuongea. Anasema maneno ni ya kutengenezwa.
 
Wamejam mitambo ya mawasiliano, simu za VOA haziingii Tanzania

Kwa hiyo hichi kipindi kimekufa natural death
 
Mwigulu anakataa hakuwahi kuongea kuwa mkiichagua cdm mtakufa.
 
mwigulu akataa hakusema wasipochagua CCM watakufa.
mwenye evidence ya sauti yake akitamka hayo maneno hebu aweke hapa tumuumbue zaidi.
shahidi za video na waandishi waliokuepo uwanjani akihutubu zipo..
ameruka kamba Mwigulu
 
Ahsante Kamanda kwa taarifa, ngoja nikae mkao wa kusikiliza na haka ka 277 kangu nilikorithishwa na Babu yangu. Duh ngoja nikanunue Betri za NATIONAL.[/QUOTE

inasikitisha kuona Jangili na Jambazi Kama Lema anapata fursa ya kuongoza Watu, hi ni hat ari Kubwa sana. Blind leading the blind.

Nafikiri hapo kwenye blue utakuwa umekosea, sio kwamba ulikuwa unamaanisha yule DENTIST wetu wa Elephant a.k.a Tembo na ndugu yake NDOVU?? nafikiri ulikuwa unamaanisha DENTIST wa ELEPHANT. Hebu rudi utunyooshee mambo hapa, rekebisha hapo kwenye Blue
 
Mwigulu anamtetea pinda, anasema pinda antetea utii wa sheria. Kipindi kimeisha, mwigulu kaongea kama dakika mbili tu.
 
Wame quote Mwigulu Nchemba tu, hawa VOA ni washenzi sana, wanamquote mtu dakika mbili kablda kipindi haijaisha!
Pumbavu zao!!!!!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hakuna kilichozungumzwa lema na nchemba wote hakuwa wanapatikana hewani mpaka kipindi kinaisha
 
Nimesikiliza voa wamewatafuta lema na nchemba hawakupatikana hewani hadi kipindi kinaisha
 
Ndio maana muda mrefu polisi wanafanya uhuni tume zinaundwhakuna zinachukuliwa zaidi ya ikulu kutunuku policcm walioua.,...,ccm na serikali yake walikuwa bado tu kuwaambia watz kuwa wao ndo waliishawapa mamlaka hiyo ya kuteaa kungoa meno na kucha na kuuwa........kwa kuwa Mungu wetu tuliyemtanguliza ni mkuu mtaweweseka sn.....na itafahamika tu
 
Ahsante Kamanda kwa taarifa, ngoja nikae mkao wa kusikiliza na haka ka 277 kangu nilikorithishwa na Babu yangu. Duh ngoja nikanunue Betri za NATIONAL.[/QUOTE

inasikitisha kuona Jangili na Jambazi Kama Lema anapata fursa ya kuongoza Watu, hi ni hat ari Kubwa sana. Blind leading the blind.

Nafikiri hapo kwenye blue utakuwa umekosea, sio kwamba ulikuwa unamaanisha yule DENTIST wetu wa Elephant a.k.a Tembo na ndugu yake NDOVU?? nafikiri ulikuwa unamaanisha DENTIST wa ELEPHANT. Hebu rudi utunyooshee mambo hapa, rekebisha hapo kwenye Blue
 
heheeeeeeeeee kweli 2na vichwa vya wenda wazimu kweli mtoto wa mkulima niliyemwamini anabusara kumbe naye ndo kama walewale,hivi ni yule yule aliyelia bungeni kipindi kleeeeeeeeeeee au ni mwingine naona na yeye kashalishwa sumu
 
wame quote mwigulu nchemba tu, hawa voa ni washenzi sana, wanamquote mtu dakika mbili kablda kipindi haijaisha!
Pumbavu zao!!!!!!

Sent from my blackberry 9780 using jamiiforums
wale siyo tbc wameepusha shari wamejuwa ange arisha maneno midhili ya mtu mwenye kipindu pindu,
bora hatukusikia pumba zake laana yule karibuni ataende kutoa ushahidi mbinguni inshaa allah,moto unamsubiri
 
Namuomba pinda kabla ya kuanza kutekeleza kauli yake hiyo,ahakikishe polisi wote wamehamia laini ,na watoto wao wajengewe shule laini pamoja na soko.
 
Mleta mada umeandika kishabiki mno. Huyo kitimoto atakwa povu tu hana lolote, comred mwigulu atapiga kote kote km kawaida yake
 
Wasio tii amri na sheria kwa msingi wa nchi inayoendeshwa kidemokrasia lazima wapatiwe adabu - kuanzia kupigwa na watu wenye hasira kali kama Nassari hadi kupigwa na Jeshi yaani kivita.
 
Mwigulu alipatikana dk 4 kabla ya kipindi kuisha
amehojiwa na kakana hakutoa tamko la kusema wasipochagua CCM watakufa
soma hapo juu zaidi na fuata link ilowekwa wamerekodi

Nimesikiliza voa wamewatafuta lema na nchemba hawakupatikana hewani hadi kipindi kinaisha
 
Back
Top Bottom