Kuweka record sawa!
Vile viwanja vilivyokuwa haviuziki kwa sababu ya migogoro utawala wa jpm, sasa vimeanza kuwa dili tena awamu ya sita!.
Double allocation imeanza kurudi tena!
Nashauri Inchi yetu ipitishe sheria ya kunyonga watumishi wa umma/hususani Ardhi wanaosaini na kuidhisha hati Mara mbili kwa watu tofauti makusudi.
Kwasababu kesi za ardhi zinaumiza sana familia na hukumu yake huchukua hata miaka 30 kutatulika! ( yaani kesi inafunguliwa na babu inakuja kumalizwa na mjukuu)
Hivyo ishu ya ardhi tusimtegemee waziri wa ardhi peke yake, hawezi kufika kila kona cha mhimu Tuanze kunyonga watumishi wanaofanya hayo haraka!
Kama hakuna mnyongaji, wengine kazi hizo za kikatili tumezoea!
Kama sheria ya kunyonga itakuwa ni ndefu basi Wekeni utaratibu mzuri ufanane na ule wa ujambazi ili pale inapobainika pasiposhaka watu hao kufanya hayo, basi wafananishwe na ujambazi wa ardhi; Tuone namna ya kufanya haraka haraka! (Silaha naimani zipo za kutosha kila wilaya kutwa zinafutwa vumbi bila kazi wakati kazi kama hizi zipo)
Hili linawezekana kabisa, "Wakati mwingine mfumo wa dawa au neti ya kuzuia Mbu unapofeli, Mbu wanaopenya ndani ya neti hustahili kuuwawa kwa Makofi"
Vile viwanja vilivyokuwa haviuziki kwa sababu ya migogoro utawala wa jpm, sasa vimeanza kuwa dili tena awamu ya sita!.
Double allocation imeanza kurudi tena!
Nashauri Inchi yetu ipitishe sheria ya kunyonga watumishi wa umma/hususani Ardhi wanaosaini na kuidhisha hati Mara mbili kwa watu tofauti makusudi.
Kwasababu kesi za ardhi zinaumiza sana familia na hukumu yake huchukua hata miaka 30 kutatulika! ( yaani kesi inafunguliwa na babu inakuja kumalizwa na mjukuu)
Hivyo ishu ya ardhi tusimtegemee waziri wa ardhi peke yake, hawezi kufika kila kona cha mhimu Tuanze kunyonga watumishi wanaofanya hayo haraka!
Kama hakuna mnyongaji, wengine kazi hizo za kikatili tumezoea!
Kama sheria ya kunyonga itakuwa ni ndefu basi Wekeni utaratibu mzuri ufanane na ule wa ujambazi ili pale inapobainika pasiposhaka watu hao kufanya hayo, basi wafananishwe na ujambazi wa ardhi; Tuone namna ya kufanya haraka haraka! (Silaha naimani zipo za kutosha kila wilaya kutwa zinafutwa vumbi bila kazi wakati kazi kama hizi zipo)
Hili linawezekana kabisa, "Wakati mwingine mfumo wa dawa au neti ya kuzuia Mbu unapofeli, Mbu wanaopenya ndani ya neti hustahili kuuwawa kwa Makofi"