Tochuku
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 5,148
- 7,995
- Thread starter
- #21
Mwanangu wewe umenisoma kabisa ..ngoja ntakucheki ...yan kuna sehem ukiwepo unaskia raha tu hata unainjoi kampan..warembo classic na hawana NJAAA...Hapo huwa kuna totoz kweli ? Huwa nahisi totoz za kitambaa ndio zinaenda hapo kuwinda dk za mwanzo wa mchezo, then zinajikataaa badae.. kama anataka raha asogee Las Vegas Casinos pale 🚨