Kibenje KK
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 267
- 380
OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA
FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei kwa wateja watakaolipia kwa Cash. Na LAKI NANE TU (800,000/=) kwa wateja watakaolipia kwa installment (awamu) utaanza na nusu yake nyingine ndani ya miezi 3.
Viwanja vinapatikana Vikindu, Vianzi karibu na kiwanda cha Plastiki, viwanja vimepimwa, mazingira mazuri yanayovutia kwa makazi, huduma za kijamii kama maji, umeme, Shule na Zahanati viko karibu.
Ukubwa wa viwanja ni Futi 50 X 40 na unaweza kuunganisha zaidi ya viwanja viwili na kuendelea.
Usafiri wa kufika Vikindu ni Uhakika 💯. Kuna Magari ya moja kwa moja kutokea /Kwenda Kariakoo, Temeke, Kigamboni, Kivukoni, Buza, Mbagala n.k Njoo mpaka Vikindu.
Vikindu iko mbele ya Mbagala.
0762815104
Ukiwauliza Wakongwe wa Dar watakwambia majuzi Bunju, Goba, Mbezi kulikuwa ni mapori. Sasa hivi bei ya viwanja maeneo hayo hazishikiki. Chukua kiwanja Vikindu, baadae utajipongeza.
0762815104
FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei kwa wateja watakaolipia kwa Cash. Na LAKI NANE TU (800,000/=) kwa wateja watakaolipia kwa installment (awamu) utaanza na nusu yake nyingine ndani ya miezi 3.
Viwanja vinapatikana Vikindu, Vianzi karibu na kiwanda cha Plastiki, viwanja vimepimwa, mazingira mazuri yanayovutia kwa makazi, huduma za kijamii kama maji, umeme, Shule na Zahanati viko karibu.
Ukubwa wa viwanja ni Futi 50 X 40 na unaweza kuunganisha zaidi ya viwanja viwili na kuendelea.
Usafiri wa kufika Vikindu ni Uhakika 💯. Kuna Magari ya moja kwa moja kutokea /Kwenda Kariakoo, Temeke, Kigamboni, Kivukoni, Buza, Mbagala n.k Njoo mpaka Vikindu.
Vikindu iko mbele ya Mbagala.
0762815104
Ukiwauliza Wakongwe wa Dar watakwambia majuzi Bunju, Goba, Mbezi kulikuwa ni mapori. Sasa hivi bei ya viwanja maeneo hayo hazishikiki. Chukua kiwanja Vikindu, baadae utajipongeza.
0762815104