Viwango Hivi Vya Elimu Vimepitwa na Wakati!

Nilifikiri wewe ni mathematician (going by your signature). Issue hapa siyo constitutional right (unaleta mambo ya Obama juu ya Ground Zero Mosque anapesama ametetea haki na hafanyi comment juu ya busara-wisdom). Nimeargue mathematically kwamba probability kwamba formally educated person will perform better than a standard seven leaver is higher. Kwa vile uko unshakable in what you believe hutaki kukubali opinion za wenzako bila kujali mantiki yake. Huwezi kutuambia hata nchi moja isiyo amini in formal education. I tell you, even those guys you are defending (wasio na vidato) wanajua ni kiasi gani wangekuwa more efficient and effective kama wangekuwa na formal education! You're the only guy (outlier) who dont see the necessity of formal educ.

Kwenye haki na sheria hakuna probability.

Utajisikia vipi kama tukikuambia kwamba based on your biodemographics statistically wewe una probability ya 99% kuwa murderer, na kwa hiyo tukupeleke kwenye firing squad kabla hujaua ?

Basically unachotaka kufanya ni the same thing, unataka kuwazuia watu wasipate constitutional right yao kwa sababu ya statistics, statistics ambazo hata hujatuambia umezipata wapi.
 
1. Owing to his deprived childhood, Jacob Zuma did not receive any formal schooling. Heavily influenced by a trade unionist family member, he became involved in politics at an early age and joined the African National Congress in 1959. He became an active member of Umkhonto We Sizwe in 1962, following the banning of the ANC in 1960,

Lula had little formal education. He did not learn to read until he was ten years old,[8] and quit school after the fourth grade in order to work to help his family. His working life began at age 12 as a shoeshiner and street vendor.[9] By age 14 he got his first formal job in a copper processing factory as a lathe operator.

Source: Internet
 
1. Owing to his deprived childhood, Jacob Zuma did not receive any formal schooling. Heavily influenced by a trade unionist family member, he became involved in politics at an early age and joined the African National Congress in 1959. He became an active member of Umkhonto We Sizwe in 1962, following the banning of the ANC in 1960,

Lula had little formal education. He did not learn to read until he was ten years old,[8] and quit school after the fourth grade in order to work to help his family. His working life began at age 12 as a shoeshiner and street vendor.[9] By age 14 he got his first formal job in a copper processing factory as a lathe operator.

Source: Internet

What is the message? Is Jacob Zuma a successful leader? Idd Amin did not have formal education but hiked to the highest rank...he became a president! But what if South Africa was under the leadership of another person?
 
I think jamii yetu ya sasa ina "exaggerate" sana umuhimu wa "vyeti" vya formal education....no wonder kila graduate Tanzania anakimbilia kufanya MBA!!!

Sina nia ya kusema formal education haina umuhimu, lakini hoja iliyo hapa inaashiria dalili mbaya sana za watu wenye "VYETI" vya formal education kujiona wako juu ya wale wasio na vyeti.
 
I think jamii yetu ya sasa ina "exaggerate" sana umuhimu wa "vyeti" vya formal education....no wonder kila graduate Tanzania anakimbilia kufanya MBA!!!

Sina nia ya kusema formal education haina umuhimu, lakini hoja iliyo hapa inaashiria dalili mbaya sana za watu wenye "VYETI" vya formal education kujiona wako juu ya wale wasio na vyeti.

Ndio maana mimi nasema cha muhimu kuzingatia ni uwezo wa kuongoza. Ingekuwa elimu kwa wenzetu ni kigezo basi Lula asingekuwa raisi achilia mbali kushinda muhula wa pili kuwa raisi wa taifa kubwa Amerika ya Kusini.

Sasa kuna ambaye atathubutu kuja kusema kuwa Lula hana uwezo wa kuelewa complexities za mambo ya uchumi, sheria, jamii, n.k. kwa vile tu hana "formal education" ya kutoka higher learning institution?

Na ni Lula huyu huyu aliyekuwa mwakilishi mbunge kwenye bunge la Brasil....
 
Ndugu Wanabodi,

Katika Mchakato wa kutafuta wagombea Ubunge kupitia Chama Tawala (CCM), kumetokea mwamko mkubwa kutoka kwa wananchi wa kawaida kutaka ridhaa ya kuwawakilisha wenzao Bungeni. Katika Mchakato huo kumetokea watu wa rika, rangi, dini na makabila tofauti. Utofauti huo wa wagombea unaonyesha ni kiasi gani demokrasia inakuwa Nchini kwetu.

Kilichonishangaza Mimi,ni kiwango cha Elimu cha baadhi ya Wagombea waliopitishwa katika kazi hiyo muhimu ya Kutunga Sheria. Naomba nisionekane mbaguzi hapa, lakini ni ukweli usiopingika kuwa ni vyema tuchague watu wenye kiwango kizuri cha Elimu ili kuweza kukimbizana na mwendokasi huu wa maendeleo. Kiwango cha Elimu ya Msingi si kiwango kizuri kwa kazi ngumu ya mijadala na Utungaji sheria.

Naomba Tume ya Uchaguzi (NEC) iweke utaratibu wa kutangaza angalau kiwango cha Elimu ya Kidato cha sita. Vinginevyo tutakuwa na kundi la Watunga sheria wasio na uelewa wa wanachosimamia.

Hapa chini nimejaribu kuweka Majina ya Wagombea Ubunge waliopitishwa na NEC/CC ambao kiwango chao cha Elimu ni shule ya Msingi na kuna mmojawapo hana kabisa Elimu ya darasani.

1; Deo Sanga (Jah People) (Njombe Kaskazini)
2; Jamal A Tamim (Muhambwe - Kigoma)
3; Lameck O Airo (Rolya - Mara)
4; Moshi S Kakoso (Mpanda Vijijini - Rukwa)
5; Stephen Ngonyani (Korogwe Vijijini - Tanga)
6; Livingstone J. Lusinde ( Mtera - Dodoma)
7; Hussein Nassoro Amar (Nyang'wale - Mwanza)
8; Luckson Ndaga Mwanjale (Mbeya Vijijini) - Hana Formal Education.
9; Mahmood Abuu Juma (Kibaha Vijijini - Pwani)
10;Aeshi Khalfany Hillary (Sumbawanga mjini - Rukwa).

Mniwie radhi kama nitakuwa nimewakwaza baadhi ya watu/wagombea katika bandiko langu hili.Lakini kwa mustakabali wa Taifa letu naomba tujadilane kwa hili.

Mkuu hawa wa STD VII ndiyo hasa wanaotakiwa na CCM. Sababu kuu ni kwamba wanachofuata bungeni ni posho in return to the NDIYO kwa kila kitu na makofi. Ukiweka watu wenye uelewa waliopitishwa na wananchi bila kupata huruma ya NEC/CC ni kwamba hawa watasimamia upande wa masilahi ya nchi badala ya chama (Kuwaibia watanzania rasilimali zao, na kuwadumaza kimawazo na kiakili ili waendelee kuwatawala kwa muda mrefu)
 
Embu tuache kwanza kuchanganya mambo kuna watu wanavipaji natural vya kuweza ku-reason more kushinda baadhi yetu. Walikuwepo design hizi since recorded human histroy began from ancient history, in medieval times, before industrial revolution and even after (in our times) kama watu wanaotajwa humu ndani in most cases there are exceptions.

Lakini kipindi hichi na dunia ya leo ukienda kuwarudisha baadhi ya hao wa zamani watakuta fikra zao ni outdated in a scientific modern world. Tukirudi kwenye siasa which is constantly evolving and developing (except in africa kwa sababu ya kuwapa mabozzo uongozi) new questions bring new challenges. Kipindi wanahitajika viongozi ambao wapo tayari kuelewa the nature of the business the're involved in, hivyo sidhani kama 'jah' ataweza kutuambia limbikizo la watu mjini ambao hawana shughuli litatuliwe vipi (suluhisho lake) iwapo budget yetu yenyewe aitoshi hata kuweka basics mahospitalini wala mashuleni leo huyu aende bungeni kweli sijui atatoa mchango gani ambao an average moaner could not argue.

Amna anaekataa its a constitution right kugombea kama una criteria zote. Lakini kuchaguliwa kwao ni tatizo katika maendeleo ya jamii, tusijifananishe sisi na nchi ambazo power has been redistributed and democracy is transparent at the top level. Hivyo kupanda daraja has much to do on your wit to gain support na kujua nyimbo za kuimba mbele ya werevu wa chama au jamii. One doesnt have to be a 'psephologists' kuelewa Tanzanian voters especially rural CCM supporters pretty much still vote on the basis of party identification rather than policies offered by the party.

Kwa kuwa jamii yenyewe bado hipo usingizini na kwa hawa wanajamii yeyote wanadhani anaweza wa represent huko bungeni. Matokeo yake tunakuta hizi siasa mbovu na wawakilishi ambao wana argue on the basis of what has been observed by the naked eye, au walichosoma lakini never kuweza ku-reason complicated policies ambazo wanazipigia kura bila kujua mistari ya kubishia.

Mfano wizi uliokubuhu kama dar, moja ya sababu nyingi unatokana na watu kukosa makazi na wahamiaji wengi kutoka mikoa ambao wanaongeza wimbi la ukosefu wa ajira on an already deprived areas. The're bound to be social conflict hapo and a scramble for the resources. Moja ya matokeo yake ndio wizi wa ahli ya juu wanajamii wanalalamika na wizi unaokubuhu and what policies are there to curb the problem. Or does the bozzo representing them even raises concern on behalf of those who have elected him/her into office. I doubt he doesnt understand the causes in the first palce sasa hataona vipi tatizo lilipo. Ni sawa na raisi anaesema ajui kwanini sisi maskini lakini anapitishwa awamu nyingine kuwa mgombea wa CCM alafu tutegemee mabadiliko.

Sasa tunategemea aliemaliza darasa la saba kuweza kuja kujua lolote au ana wa represent vipi watu with constructive arguments in the house of reps katika kutaka sera fulani zifike na vijijini kwake si ajabu majimbo mengi yalioendelea ni ya reps ambao ni mafisadi. Halafu 'hoo' ufisadi umezidi what do you expect when the budget spending can not be scrutinized in the house of reps or when decisions are passed without much fuss.

Leo tena tunataka kusema wawepo kwenye hilo jumba ni haki yao kikatiba sawa, lakini ni kudumuza demokrasia kuweka watu wasio jua nini implication ya some of the policies they vote for mpaka waone watu wanapata ugonjwa wa ngozi ndio wajue serikali imegawa madini bila ya kuhakikisha the safety of those living near mines in the first place. Kesho wakijengewa shule raisi anaenda ifungua all is forgoten na mmbunge anaonekana ni mtumikaji.

Hatuwezi ji compare na emerging markets au viongozi wasio na elimu ya juu katika nchi zilizojaza wasomi chungu katika bunge zao na pia kuna opposition parties ambazo zina offer alternative kama serikali ikiboronga. Na kuna utumiaji mkubwa wa wasomi na wafanyabiashara kwenye kutunga sera, sera ambazo zinaweza bishiwa na about 95% of reps academically why the're for the better of the worst.

Kwa hiyo its easier for that matter kumuweka a likeable character as a leader for the party to gain control lakini kuna watu wenye kumshauri kisawasawa. Hata 'John Major' it was possible kwa kuwa 'Mrs Thatcher' had made too much mess to upset the lower classes and the gov was seen as a bunch of Etonian boys running the whole, ndio hapo 'Major' akaja kuwa leader for strategic purposes hili wabaki madarakani since he had a working class upbringing, si unaona wasomi wanavyoweza ku manipulate the mass.

Sasa kweli tupeleke wasomi wa darasa la saba ambao wana achia upuuzi kila siku upite bungeni halafu tutegemee mabadiliko not in our life times, wengine tutakuta atuna hata pa kulima tukirudi vijijini kwetu ardhi ishauzwa the dumbs could not figure society expands what is seen as vast today tommorow might be little kwa kuwa uwezo wao kujiuliza ni mdogo. We're loosing alot at the moment, sisemi watu wanyimwe haki yao ya kugombea kikatiba wala katiba itete wasomi hila wagombea wengine kwa kweli ni matatizo katika maendeleo yetu.
 
Napingana na wote mnaokataa kwamba elimu rasmi (kwa maana ya vidato vya sekondari na elimu ya taasisi za juu) si lazima na mnadai msingi mkubwa ni mtu kuwa ana elimu (informal au formal). Mbuge anayo majukumu yanayolazimisha awe na elimu rasmi. Elimu, kwa mtazamo wangu, haina maana ya kusoma na kuandika kiingereza bali ni, pamoja na mengine, kuwa na uwezo wa kuchambua na kutathmini mambo mbali mbali. Mtu ambaye hana hata elimu ya kidato cha nne itakuwa tabu:

1) Kutumia angalau saa moja kupitia mswada

2) Kuchambua mswada wenyewe maana kwanza hawezi kuusoma na kuulewa...hana mazoea ya kusoma

3) Atadharauliwa na wenzake hata kama ana 'points' zenye mantiki (At university level, kwa mfano, ni kawaida Profesa kumdharau Daktari licha ya wote kuwa sawa at least academically speaking).

4)Watu hawa (wasio na formal education) hufanikiwa kwa vile tu wanatoka kwenye koo kubwa, wanapesa nyingi au ni jamii inatoa tu adhabu kwa wagombea wengine kwa sababu kadha wa kadha...si wazuri hivyo!

5) n.k.

1.Una hakika gani hata hao wenye Ph.D wanapitia hayo makabrasha? Mbona walijaa kwenye bunge lilopita na hakuna dalili kuwa walikuwa wakifanya hivyo?

2. Unakosea tena. Kutokuwa na formal education hakumaanishi kuwa hawawezi kusoma. Huyo ni illiterate na hakuna anayesema kuwa mtu asiyejua kusoma au kuandika atuwakilishe kwenye bunge.

3. Unachanganya vitu, msomi wewe. Uprofesa si shahada bali ni cheo. Hakuna mahali ambako mtu anasomea u-profesa. Udaktari ( natumaini ukimaanisha aliye na Ph.D n.k.) ni shahada. Profesa si lazima awe na Ph.D. Obama akiwa mfano. Kwa hiyo kusema kuwa profesa anadharau madaktari ni illogical. Labda katika eneo lingine lakini si academica. Mtu kudharau wale anayeona amewazidi ni hulka yake. Si wote. Mbona tuna wabunge wazuri sana wanawake na sehemu kubwa ya jamii yetu inadharau wanawake? Au watu wafupi? Sasa unataka wote hawa wasiruhusiwe kugombea ubunge kwa sababu tunataka kuwalinda wasije kudharauliwa?

4. a. Ni mara chache sana kwa mtu anayetoka katika koo kubwa kukosa elimu kabisa.

b. Watu wasio na hiyo formal education unayojisifia wakipata pesa ni kutokana na jitihada zao na si kwa sababu wamelipua mabomu kutokana na nafasi yao kazini. Hawa wanaithamini sana pesa yao na mara nyingi wanathamini sana elimu kwa sababu wanajua ingewarahisishia kupata utajiri.

c. Unaonyesha tena ugonjwa wa wasomi wa kudharau wapiga kura. Wapiga kura hawatoi adhabu ili mradi tu. Ni kutokana na kutoridhika. Badala ya kuwabeza, wanabidi wapongezwe kwa kutovumilia dead woods. Wanachotakiwa kuangalia ni nani atakayelinda maslahi na kutetea na kutangaza jimbo lake. Si suala la nchi bali jimbo. Kwa nini mlima kahawa wa Mbinga achague mbunge anayejua kusoma mikataba ya madini? Anatakiwa amchague yule anayejua adha ya kilimo cha kahawa na anayeweza kumtetea na kuhakikisha kuwa zao lake linapewa kipaumbele. Ndiyo siasa.

5. Hivi kweli una formal education?


Amandla........
 
Jamani eeh.............hapa JF wanaokataa kuhusu umuhimu wa elimu............huyo atakuwa anapingana na nafsi yake..........based on what we are!

Kuna mambo mawili............
1..........either umeenda shule or hujaenda shule i.e experience binafsi na mazingira husika...........
2. Matokeo yatakayotokana na hiyo No.1......i.e. delivery performance ya elimu hizo.............kama huleti matokeo Mazuri.......ni HUFAI....... PERIOD.

.......Demokrasia ina faida zake na hasara zake...........wakati mwingine kura ya Turufu/Udikteta unasaidia.........mifano iko(both local and International)..............informal education ikiwa complemented na formal education...........chances za kuwa na long term benefits ni kubwa..........

Naheshimu sana demokrasia...........lakini jamani tuache masikhara.........elimu tunayoizungumza hapa ni muhimu..........
 
Hivi Ogah huwezi kuandika bila midoti doti? Kila kitu wewe.................kila kitu....................what the hell?
 
1. Owing to his deprived childhood, Jacob Zuma did not receive any formal schooling. Heavily influenced by a trade unionist family member, he became involved in politics at an early age and joined the African National Congress in 1959. He became an active member of Umkhonto We Sizwe in 1962, following the banning of the ANC in 1960,

Lula had little formal education. He did not learn to read until he was ten years old,[8] and quit school after the fourth grade in order to work to help his family. His working life began at age 12 as a shoeshiner and street vendor.[9] By age 14 he got his first formal job in a copper processing factory as a lathe operator.

Source: Internet

Didn't he do distance learning when he became an adult? Or didn't he have private tuition? He must have done a bit of formal education. They say he missed formal schooling in childhood and remained quiet in adulthood!
 
Hivi Ogah huwezi kuandika bila midoti doti? Kila kitu wewe.................kila kitu....................what the hell?
......Bwa ha ha ha ha.......ngoja nikapige boksi...........bwa ha ha ha ha ..........maana mie elimu sina......mtaji wangu ni nguvu zangu mwenyewe...........bwa ha ha ha ha
 
......Bwa ha ha ha ha.......ngoja nikapige boksi...........bwa ha ha ha ha ..........maana mie elimu sina......mtaji wangu ni nguvu zangu mwenyewe...........bwa ha ha ha ha

U stoooopid as hell....................................................................................................
 
Bunge aspirant proud of Std 7 status;

From DAILY NEWS Reporter in Korogwe, 22nd August 2010
AN aspirant for a Member of Parliament in Korogwe Rural Constituency in Tanga Region on a CCM ticket has said he was proud of being a Standard Seven leaver.
The candidate, Mr Stephen Ngonyani, popularly known as Professor Maji Marefu said here over the weekend that he has never regretted being a Standard Seven leaver and that he is ready to face any challenge ahead of him.

"Speaking English is not an issue with me. If it happens that I have to speak English, then I will ask my fellow MP Yusuf Nasri, who is vying for the Korogwe Urban seat to help me," he said lightly, when launching his campaign.
He said the aim was to see quick development in the community by uniting and involving the people in decision making.

"I thank you wananchi very much for electing me… although I never went to school to learn English, I will ask my fellow candidate Mr Nasri to help in that," he said.
On the other hand, the Tanga CCM Chairman, Mr Musa Shekimweri, told the aspirant to be confident as there is no law that prevents one from serving the public simply because he was a Standard Seven leaver.
"What is required is to know how to read and write", he said. Mr Shekimweri commended the public for nominating young aspirants with a desire to fly the CCM flag to Dodoma in the next Bunge.

The CCM Chairman also called on the public to avoid groups that could promote hatred among the party members.
 
Katika zama hizi za utandawazi, na katika wakati huu tulionao katika lindi la umasikini tunahitaji kukimbia na si kutembea. Ni kwa mantiki hii tujiulize tunataka turudi katika enzi za chifu mangungo? Hivi kweli std vii leaver anawezaje kukaa meza moja na msomi wa India, Brazili, Indonesia achilia mbali majirani zetu, wakae pamoja kupanga mbinu za maendeleo?
Hebu tujiulize kwanini kipindupindu kipo buguruni na mbagala zaidi ya oysterbay na upanga.?
Lakini pia tujiulize bunge letu lililokwisha lilikuwa limesheheni wasomi liliwezaje kuutetea umma na rasilimali za taifa? mbona ma Dr, Pofessor, ''wenye masters na Basters'' walikuwa wanakalishwa chini na yule mzee msema hovyo katika kamati za chama na kuambiwa shut up! usomi uliwasaidiaje?
Kuna matatizo mawili tunayoyakwepa kuyazungumzia.
1. Katiba yetu hairuhusu fikra na mawazo mapya, imempa mtu mmoja ''rais'' kuamua hatima ya taifa. Kwa hili msomi na asiye wote wanakuwa katika mizani sawa. Mizani ya ndiyo mzee!
2. Hivi hawa wasomi vs std vii wanauzalendo kiasi gani na nchi yao?
Katika zama hizi hatuwezi kuongozwa na busara bila elimu , lakini pia elimu haitatusaidia kama hakuna uzalendo. Uzalendo hautatusaidia kama hakuna demokrasi.
 
suala la elimu ya wabunge ni nyeti hasa ukitilia maanani umuhimu wa chombo cha bunge, inatisha kuona baadhi ya watanzania bado tunabishana kuhusu elimu ya watunga sheria ya nchi, bunge limekuwa kama club ya wahuni kutokana na kujaa vilaza, suala la wasomi kuwa kuwa arrogant mdau umetoa mfano wa Mh. Chenge tatizo la Chenge halikuwa elimu yake bali serikali nzima haina ethics, ni rahisi sana kuwacontrol vilaza kwani wao wanachojua ni kukubali kila mswaada bila kujali athari zake, miswaada yote mibovu ilipita bungeni bali upeo mdogo wa kuchanganyua sheria ndio ulioleta matatizo yanayotukabili taifa letu, unamkumbuka kilaza Mrema? kila kukicha alikuwa akitoa sheria hakujua kuwa bunge ndiyo linalopitisha sheria, mtoa mada alichosema ni elimu hakusema ni lazima tupate wasomi waliotoka ulaya, kiingereza ni lugha tu kama kigogo na kingoni , tunachotaka ni elimu bora kwa wabunge wetu, sababu kubwa ya utendaji mbovu wa serikali yetu ni sababu ya kujaa mawaziri vilaza ambo wengi wao ni wabunge! mbunge kilaza atachangia vipi bajeti ya nchi ikiwa hata kuichanganyua bajeti yenyewe hajui? mdau hakusema ni lazima wawe na Ph.D, mimi nadhani hata diploma ya ualimu kwa kuanzia inatosha, darasa la saba hata kazi ya kusafisha choo hupati kwenye ukumbi wa bunge, leo iweje umpe mtu wa darasa la saba kazi nyeti na muhimu kama ya ubunge? kama si masihara ni kitu gani? wabunge vilaza wamekuwa mstari wa mbele kugushi vyeti kwani wanajua umuhimu wa elimu sasa wadau sijui mnatetea kitu gani, elimu ina umuhimu wake. sina nia ya kuwashifu watu wenye elimu ya darasa la saba bali huu ndio ukweli wenyewe !!
 
Bunge aspirant proud of Std 7 status;

From DAILY NEWS Reporter in Korogwe, 22nd August 2010
AN aspirant for a Member of Parliament in Korogwe Rural Constituency in Tanga Region on a CCM ticket has said he was proud of being a Standard Seven leaver.
The candidate, Mr Stephen Ngonyani, popularly known as Professor Maji Marefu said here over the weekend that he has never regretted being a Standard Seven leaver and that he is ready to face any challenge ahead of him.

"Speaking English is not an issue with me. If it happens that I have to speak English, then I will ask my fellow MP Yusuf Nasri, who is vying for the Korogwe Urban seat to help me," he said lightly, when launching his campaign.
He said the aim was to see quick development in the community by uniting and involving the people in decision making.

"I thank you wananchi very much for electing me… although I never went to school to learn English, I will ask my fellow candidate Mr Nasri to help in that," he said.
On the other hand, the Tanga CCM Chairman, Mr Musa Shekimweri, told the aspirant to be confident as there is no law that prevents one from serving the public simply because he was a Standard Seven leaver.
"What is required is to know how to read and write", he said. Mr Shekimweri commended the public for nominating young aspirants with a desire to fly the CCM flag to Dodoma in the next Bunge.

The CCM Chairman also called on the public to avoid groups that could promote hatred among the party members.

Makubwa haya...!

Ukiwa na mtu BOGUS na CLOWN kama huyu unaeza baadae kukaa kitako kujiuliza kwanini hamuendelei, u will be kidding urself.

Yaani huyu clown, faculty yake ya uelewa inamtuma kwamba kusoma ni sawa na kujua kingereza, what worse can be expected?
 
Back
Top Bottom