Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
katika definition nyingi za siasa nilizokutana nazo binafsi hii ndio iliyonikaa na nimeipenda inaenda hivi, siasa inatokana na kwa kuwa binadamu ni viumbe vinavyopenda kuishi kijamii. kwa hivyo jamii ili ifanikiwe inahitaji muongozo na muelekeo utakao tumia vizuri resources ambazo zinahitajika kwa wote.
Hivyo there are bound to be conflicts on how to use those resources which are short of supply. Hiyo ni kazi ya wanasiasa kujua jinsi gani ya kuweza kusambaza resources katika jamii, kwa nani na kwa kifungu kipi. Hivyo siasa ni mchanganyiko wa kujua jinsi ya kuweka maaumuzi katika jamii na namna ya kuchagua maamuzi ambayo wakati mwingine ni magumu kumridhisha kila mtu. kwa mtaji huo ni muhimu wanasiasa kuweza kuwa wabunifu kuja na mbinu za kuweza kuuridhisha Umma kutokana na tulichonacho katika ardhi (economics come into play). Kinachohitajika ni better muongozo, uendeshaji, mbinu za uzalishaji, kuchota akili, ushindani wa mawazo na little conflict (uhuru wa kuuliza, aka direct partricipation politically). Hapo tu unahitajika ujuaji wa masomo kama manne hili mtu aweze jua whats the score in simplicity.
Kwa kuwa siasa ni hivyo, basi tunahitaji na jumba la kuweza kuweka wawakilishi hili sauti za wengi zisikiwe through representation, in modern times the house of reps is also a legislature therefore decisions are made which affect the whole by a handful of executives kwa kweli jumba hili alistahili mtu asiejua kinachoendelea mule ndani. Just imagine the shyt that went into our parliament from ufisadi to poor policies on our resources. Hata watu wanashindwa kum-baini kwamba Mkullo ana anachokijua. Halafu humo kweli tuweke akina MC sijui nani, hell no huwa nashangaa kuona viongozi wakuu wa chama wakiandanamana na Bongo flava mc's. KHAAA!
Hivyo there are bound to be conflicts on how to use those resources which are short of supply. Hiyo ni kazi ya wanasiasa kujua jinsi gani ya kuweza kusambaza resources katika jamii, kwa nani na kwa kifungu kipi. Hivyo siasa ni mchanganyiko wa kujua jinsi ya kuweka maaumuzi katika jamii na namna ya kuchagua maamuzi ambayo wakati mwingine ni magumu kumridhisha kila mtu. kwa mtaji huo ni muhimu wanasiasa kuweza kuwa wabunifu kuja na mbinu za kuweza kuuridhisha Umma kutokana na tulichonacho katika ardhi (economics come into play). Kinachohitajika ni better muongozo, uendeshaji, mbinu za uzalishaji, kuchota akili, ushindani wa mawazo na little conflict (uhuru wa kuuliza, aka direct partricipation politically). Hapo tu unahitajika ujuaji wa masomo kama manne hili mtu aweze jua whats the score in simplicity.
Kwa kuwa siasa ni hivyo, basi tunahitaji na jumba la kuweza kuweka wawakilishi hili sauti za wengi zisikiwe through representation, in modern times the house of reps is also a legislature therefore decisions are made which affect the whole by a handful of executives kwa kweli jumba hili alistahili mtu asiejua kinachoendelea mule ndani. Just imagine the shyt that went into our parliament from ufisadi to poor policies on our resources. Hata watu wanashindwa kum-baini kwamba Mkullo ana anachokijua. Halafu humo kweli tuweke akina MC sijui nani, hell no huwa nashangaa kuona viongozi wakuu wa chama wakiandanamana na Bongo flava mc's. KHAAA!