Viumbe roho havina sura maalum

Viumbe roho havina sura maalum

Aaah kumbeee... Aisee lilitujambisha ile mbaya... Likiwaka hapo home hakukaliki.. Bro tulikua tunamfunga kamba kama ng'ombe... Aisee jaman uchwai upo....
 
Nipe muongozo kwa pm
Wala usijali kwakuwa sio siri...nitakupa hapa hapa
Tafuta ndimu moja mbichi
Ikate kati kati
Kipande kimoja weka mfuko wa kushoto Kipande cha pili weka mfuko wa kulia
Ponda kitunguu saumu
Kisha jipake kwenye paji la uso
Jipake na mikononi viganjani
Vaa ndala kwa kuzigeuza
Kushoto Vaa kulia
Ya kulia Vaa kushoto
Kisha nenda kamsalimie
Ingia ndani kwake bila kubisha hodi NA usikubali kuangalia pembeni bali mwangalie machoni direct
 
Mwanadamu ni roho yenye nafsi inayokaa ndani ya nyumba na hiyo nyumba inaitwa mwili
 
Kimoja roho ambayo ndo mwanadamu hivyo vitu vingine ni urembo tu
 
Bro thanks nmeanza kupt msg zako kila zikiingia nlikua napata shida sana
 
Wala usijali kwakuwa sio siri...nitakupa hapa hapa
Tafuta ndimu moja mbichi
Ikate kati kati
Kipande kimoja weka mfuko wa kushoto Kipande cha pili weka mfuko wa kulia
Ponda kitunguu saumu
Kisha jipake kwenye paji la uso
Jipake na mikononi viganjani
Vaa ndala kwa kuzigeuza
Kushoto Vaa kulia
Ya kulia Vaa kushoto
Kisha nenda kamsalimie
Ingia ndani kwake bila kubisha hodi NA usikubali kuangalia pembeni bali mwangalie machoni direct
Mkuuu si unataka jamaa aliwe nyama nyt??.

Outcme ni ipi? Ata prove vip
 
Mshana Jr ,,, Kama Mtu Ana Majini Anatakiwa Atumie Dawa Gani Ili Kuyafukuza Mwilini Mwake ,,,
 
Back
Top Bottom