Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,989
- 3,692
Nasikia jini mahaba n mzuri kuliko Cleopatra.
Asante mkuu. Nakumbuka mwaka 2008 mwezi wa nane ila tarehe siikumbuki nikiwa Mbeya maeneo ya Mwanjelwa nikiwa ni ugenini kwa kufuata ajira nilikutana na jamaa ambaye nilikuwa namfahamu vizuri kabisa alikuwa umbali kama hatua kumi tu kutoka nilipo mimi tulionana nikaachia tabasamu la shauku naye akaachia lake badae nikaa kumsogelea alipo kitendo cha kuangalia chini tu kidogo nainua kichwa jamaa sikumuona alipo elekea nikawauliza jamaa wawili ambao walikuwa wamekaa wanasoma magazeti nikawauliza huyu jamaa aliyekuwa amesimama hapa ameelekea wapi? hakuna aliyenijibu nikaamua kuachanana nao nikaondoka zangu huku nikiwaza au mshkaji ameona nitampiga mzinga? ah nikaachana nae.Mwaka 2011 nilienda nyumbani kwetu Tabora. katika stori na shangazi yangu nikamsimulia alichonifanyia jamaa kule Mbeya shangazi akaniambia we koma!huyo mtu alishakufa kabla hata wewe haujamaliza shule.nikataka niendelee akasema bwana haya mambo yako mi siyataki basi na mie nikaipotezea ingawa iliniacha na bumbuwazi ......NARUDI KUENDELEA NA MKASA WA PILI.Naomba kwa heshima kuu uendelee na nakuahidi sitakwazika kwa lolote lile bali nitajitahidi kwa uelewa Wangu kukujibu..! KARIBU...!!!
Nasubiri mpaka mwisho wa simulizi ndio niseme nenoAsante mkuu. Nakumbuka mwaka 2008 mwezi wa nane ila tarehe siikumbuki nikiwa Mbeya maeneo ya Mwanjelwa nikiwa ni ugenini kwa kufuata ajira nilikutana na jamaa ambaye nilikuwa namfahamu vizuri kabisa alikuwa umbali kama hatua kumi tu kutoka nilipo mimi tulionana nikaachia tabasamu la shauku naye akaachia lake badae nikaa kumsogelea alipo kitendo cha kuangalia chini tu kidogo nainua kichwa jamaa sikumuona alipo elekea nikawauliza jamaa wawili ambao walikuwa wamekaa wanasoma magazeti nikawauliza huyu jamaa aliyekuwa amesimama hapa ameelekea wapi? hakuna aliyenijibu nikaamua kuachanana nao nikaondoka zangu huku nikiwaza au mshkaji ameona nitampiga mzinga? ah nikaachana nae.Mwaka 2011 nilienda nyumbani kwetu Tabora. katika stori na shangazi yangu nikamsimulia alichonifanyia jamaa kule Mbeya shangazi akaniambia we koma!huyo mtu alishakufa kabla hata wewe haujamaliza shule.nikataka niendelee akasema bwana haya mambo yako mi siyataki basi na mie nikaipotezea ingawa iliniacha na bumbuwazi ......NARUDI KUENDELEA NA MKASA WA PILI.
Sometimes delusions and illusion of our minds are the products of vague memories and dreadful dreamsWe think we are free from our mind. We thinks we rule our mind. But our minds rules us saaana kuliko tunavyoona.
These ideas have been constructed with our minds now we believe them na kuona its real while its a projection of our understanding on life
NAENDELEA HAPA MKUU.......Nasubiri mpaka mwisho wa simulizi ndio niseme neno
Kuna mambo matatu hapaNAENDELEA HAPA MKUU.......
Nilipata uhamisho nikapelekwa Kigoma ambako ndo nipo huku hadi sasa. Tarehe 09 mwezi huu wa tano nilienda kuhudhuria mazishi ya mama yangu mkubwa niliposhuka stand ya mabasi Tabora nikaenda kwenza toilet ya kulipia ya hapo hapo stand kujihifadhi haja ndogo kabla sijaanza kujisaidia naangalia dirishani kwenye kile kichochoro kinachokatiza hapo choo cha kulipia kinachotoka maeneo yanayopaki malori ya mchanga kwa mnaopajua Tabora,Nikamuona jamaa mwingine tena ambaye yeye alikuwa rafiki yangu wa karibu sana pala mtaani kwetu Isevya lakini naye wakati nafika Tabora mwaka 2011 nilikuta ameshafariki nikaenda tu kumpa pole bibi yake na wadogo zake ambao ndo alikuwa anaishi nao.Sasa nilipomuona sikushtuka alikuwa ananitizama kwa furaha akili ikanituma nitoke nje nikamzuie niongee nae nikatoka mbio nimuwahi kwa mbele cha ajabu sikuona mtu yeyote nikazunguka choo kizima sikuona mtu na chakuhakikisha kabisa kuwa ni yeye ni kovu la usoni kwake
kwanza asante.Ila bado umeniacha na maswali mengi.Kuna mambo matatu hapa
1.astral projection, the ability to see beyond- sixth sense
2. una nguvu ya kuwaona marehemu walikufa kabla ya siku zao...
3. Akili kutengeneza maumbo halisi ya watu ambao hawapo tena duniani ambao unafahamiana nao