olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,303
- 1,559
ukikimbizana na kichaa na ww utaonekana kichaa.Unajua wingi unaanzia na idadi gani wewe Bashite,pia hata kusoma wala kuhesabu hujui,hao ni watatu?
am out
ukikimbizana na kichaa na ww utaonekana kichaa.Unajua wingi unaanzia na idadi gani wewe Bashite,pia hata kusoma wala kuhesabu hujui,hao ni watatu?
Tujilaumu sisi wenyewe kwanza
Heri ni kuongozwa na wakoloni kuliko hawa watawala wa kiafricaAfrika hatujawai kuwa serious kabisa toka Dunia imeanzishwa..
Wazungu wametuachia mifumo ya kijinga sana na nidhamu za kifala..
Watu kama MKWAWA wakifufuka leo wanaeza fikiri bado tunaongozwa na wakoloni.
Ahadi ni sehemu ya kampeniDr. Shein aliahidi kuigeuza Zanzibar kuwa Dubai akichaguliwa kuwa raisi Bado kila nikienda Zanzibar ni kama Ruvuma tu 🤣 🤣
Then nao ufa yafaa nn sasa kuuwa mtu hali nao ufa.Sumu haijaribiwi kwa kuonjwa.Hao watawala wakiamua wanakuua,sasa hapo mpumbavu atakuwa nani?Kuepusha mbawa.
Ukirekebisha mwandiko utaeleweka ila kwa sasa hakuna atakayeelewa ulichoandika.Pole!Then nao ufa yafaa nn sasa kuuwa mtu hali nao ufa.
kabisa mkuuHeri ni kuongozwa na wakoloni kuliko hawa watawala wa kiafrica
Mkubwa ipi sababu ya huyu mwamba kuishi hoteliniMawaziri nchini Cameroon mara nyingi huwa wanalazimika kukutana na Rais wao Paul Biya airport kwa ajili ya shughuli za kiserikali kwa sababu anaendesha nchi yake kutokea Intercontinental Hotel iliyoko Geneva, Switzerland, Ulaya.