Vituko vya wanafunzi wa shule za kata

Vituko vya wanafunzi wa shule za kata

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,371
Reaction score
14,515
IMG-20220117-WA0034.jpg
 
Hii picha imenikumbusha kipindi nasoma Pugu boys wazee wa pond, kuna mijamaa ilikuwa kwenye uongozi wa wanafunz basi ikiingia dining inatoka na minyama na wali kama wote huku sie wengine tukiwekewa kinyama kimoja kimoja, cha kufurahisha wengi wao walikuja taga
Mayai mangapi?
 
Hii picha imenikumbusha kipindi nasoma Pugu boys wazee wa pond, kuna mijamaa ilikuwa kwenye uongozi wa wanafunz basi ikiingia dining inatoka na minyama na wali kama wote huku sie wengine tukiwekewa kinyama kimoja kimoja, cha kufurahisha wengi wao walikuja taga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii picha imenikumbusha kipindi nasoma Pugu boys wazee wa pond, kuna mijamaa ilikuwa kwenye uongozi wa wanafunz basi ikiingia dining inatoka na minyama na wali kama wote huku sie wengine tukiwekewa kinyama kimoja kimoja, cha kufurahisha wengi wao walikuja taga
ungeenda kula wali au half cake kwa mama Pendo (R.I.P) au mihogo mwisho wa lami, au ulikuwa unaogopa kilima cha baghday au pori la jeshi?
 
ungeenda kula wali au half cake kwa mama Pendo (R.I.P) au mihogo mwisho wa lami, au ulikuwa unaogopa kilima cha baghday au pori la jeshi?
Duuhh mama Pendo kumbe alifariki mkuu? Apumzike salama ametu save sana tuliokuwa tunachelewa dining na kukuta ma dish meupe pee.
 
Hii picha imenikumbusha kipindi nasoma Pugu boys wazee wa pond, kuna mijamaa ilikuwa kwenye uongozi wa wanafunz basi ikiingia dining inatoka na minyama na wali kama wote huku sie wengine tukiwekewa kinyama kimoja kimoja, cha kufurahisha wengi wao walikuja taga
Viongozi wa msosi lazima wafeli
 
ungeenda kula wali au half cake kwa mama Pendo (R.I.P) au mihogo mwisho wa lami, au ulikuwa unaogopa kilima cha baghday au pori la jeshi?
Daaah umenikumbusha mbali kidogo, baghdadi pale Kuna jamaa alikuwa anaitwa Omary, alikuwa anauza mihogo mizuri sana
 
Back
Top Bottom