Nakumbuka mkuu ilo tukioNi wangapi wanakumbuka mauaji ya mchina 2009 pale Royal? Suspect mmojawapo alikuwa bouncer wa bongo movie.. Alikimbia na kukimbia mji
Mkuu nimeku PM mda tu...fanya ujePale shule ya msingi kinondoni
Kulikuwa na Walimu wanaitwa
Mwl. Simbani Na Mwl. Shuma..
Ikitokea wametoa adhabu kwa wanafunzi wanaotokea Mitaa ya Msisiri B
Maeneo Ya One Nil Area Nondo na Jerusa.. au Around Mwananyamala Hospitali..
Walimu walikuwa wanabadili njia kurudi makwao..
Shuma alikuwa anakaa Mitaa ya Ujiji
Simbani Tandale
Walikuwa hawakatizi njia ya msisiri B kupitia Kamanyola..
Maana walikuwa wanaogopa kufanyiziwa...
mmh noma aisee code nishaifungua nitakucheck Pmhapana Bana me ni M mwana wa C acha niishie hapa aisee ukifungua hiyo code baki nayo moyoni
Mmhmmh noma aisee code nishaifungua nitakucheck Pm
Mkuu hao tumemaliza nao B LY 1999 hao class mmoja na mimiWe shunie utakuwa umemaliza na kina shukuru maisha,neema mkekena
Mchafu anaweza kuja kijiweni kwenu kavalia kofia kubwa IPI msimtambue halafu anasema 5000 kwa 5000 kuzuia goli ktk michezo mitatu. Yule jmaa katembea mpka vijijini wanamjua hilo jina kawala sana watu pesa kuzui goliBigwa nae mkubali Jamaa anaitwa mchafu anakopi nyingi mzee wa kutoa mkwaju
Nawajua1999
Kweli kamanda ila kavuta kama miezi 3 hivi nakubali kuliko hata mangezi akiwa Na arosto ya fegi hata ukiweka jero anapitiaMchafu anaweza kuja kijiweni kwenu kavalia kofia kubwa IPI msimtambue halafu anasema 5000 kwa 5000 kuzuia goli ktk michezo mitatu. Yule jmaa katembea mpka vijijini wanamjua hilo jina kawala sana watu pesa kuzui goli
..kausha Mjushi,Mkuu imekuaje hapa? Sijaelwa mambo yamefika tena huku?
nakumbukaumesahau na Nyarugusu f.c, siku ikipigwa game kagera ranger vs nyaragusu, uwanja wa makurumla hakukaliki, nimesoma karume pr, kitaa kagera mikoroshini
yah pamoja na kina BOKEkagera rangers..enzi za akina juma bai
niambrieeee hiyo sio ya watoto wa vingunguti hao timbereeeeend kwa kina makala hiyo mdogo wake mamaasakina na mshikaji fulani hivi mdau sana wa twangaBila kumsahau mtuma salamu maarufu na mshiriki wa kipindi cha chemsha bongo...Mohamed Kiyaiyai..mzee wa niambrieeeee...kutoka KomaKoma .
Huyu alikuwa anazinguana sana na Misanya Bingi...yaani akipiga simu anaanza kutaja washikaji walioko pembeni yake kama kumi hivi halafu ndio aanze kuwatumia salamu watu watatu...yaani ndani ya sekunde 60 anakuwa keshatuma salamu kwa watu zaidi ya 15 hivi....Misanya Bingi alimshtukia akawa anamgongea kipusa na kumkata hewani.
Halafu misanya alikuwa anamkomesha kwa kugonga kipusa kama dakika moja hivi...yaani ukitafsiri ni kama vile alikuwa anamporomoshea mitusi kwake na kwa ndugu na masela wake.
Yaani huu utundu wa wabongo ungekuwa ni wa kutengeneza vyombo vya anga mwezini tungekuwa tushahamia.
mimi nilikuwa ile ya kina kawale FARIDA chozi nk kwa ticha MAIKO pale CCM UJIJI tulikuwa na kina ROGERS wa shule ya kisiwani na wenzake ila kuna nyingne ya mr. k alikuwa anakaa kwa MZEE DIZAMIRE pale msikiti wa malamala karibu na luku ila yeye alikuwa anajua sana MATHTulikuwa tunapiga sana msuli kipindi kile kuna alqed ya kina sadalah,lijoh,loko,chiundo, nk na ile ya kina kawale,mkute,chozi, nk
Jamaa yangu walikuwa pamoja na kina Cheka kinondoni.Pale maeneo ya msufini palikuwa na uwanja mkubwa sana unatumika ktk maswala mbali mbali km siasa, maulid ( madras)...jioni unakuta kuna cha ndimu gemu za ligi ya mbuzi unakuta vibinti micharuko na wakina mama na watoto mgongoni unasikia "usiniumizie uyoooo" hizo ligi wanacheza watu na ndevu zao ila mpira wa cha ndimu (sio gozi) hapa ndio alipotokea bondia CHEKA alikuwa golikipa kipaji chake cha ngumu kilikuja kuoneka kinondoni mahakamani(kambangwa) kuna kitu kinaitwa MTU BEE....gemu zikiisha huo uwanja unageuka sehem ya biashara samaki, vitumbua, chai n.k....biashara zikimalizia wanaingia wazee wa kazi NGETA hapo kuna kila aina ya wizi usije kukatisha eneo ilo msufini kuanzia saa tano usku UMEKWISHA
Wansema aliwadhurumu wazambia kwa kuwadanganya na dawa za uongo wakamuua...Alioa Norah