Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,186
Nakumbuka mtaani kwetu kulikua na grocery mdada mmoja waki kipare auntie rosse ndio ilikua grocery yake wateja wake wakuu walikua matapeli wa kino, m'nyamala na na manjunju wakina nassoro mwenye sonara na yule tapeli maarufu wa manjunju anaitwa juma nani sijui halaf sasa hivi auntie rosse kaokoka asee kweli maisha yanabadirika