Hahahahhaaaa yan madenge wanakusema wewe Wa KusomaHaya nenda kasali sasa maana upupu uliokuwa unakuwasha umeumwaga hapa.
Haya nenda kasali sasa maana upupu uliokuwa unakuwasha umeumwaga hapa.
Ngoja niko naandaa software moja maalum kwa ajili ya remote control ya huyu Madenge wa JfInaonekana we wakusoma bado uko kindergaten mi naona huku hapakufai. Nashut down
Teh halafu anataka kujipa ban kumbe anaenda kijijini kwao na hakutakuwa na internet na anatumia kitochi,Yaani Wakusoma= Madenge. Teh teh teh.