Yaping Xi Laan
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,255
- 2,470
Leo nilipokuwa nikpg misele nimekutana na babu.Alikuwa anabeba mzg nikaamua kumsaidia maana nlmuonea huruma. Tulipokuwa njian tukielekea kwake babu yule akaniuliza."hiv mjukuu wangu umeoa",nilimjibu hapana nlshindwa mbn kaniuliza.
nlimuuliza babu vp tena akanijibu."unajua mjukuu wangu mm sjaoa na nina miaka 77,naumwaa sana sina wakuniangalia na ndugu zang wamenitelekeza kisa sina familia" "mm nataman cku zirud nyuma nioe ila nivigumu,ila mjukuu wangu ww saiv una huo uwezo saiv usichezee ujana wako oa ukiwa na nguv maana ukizeeka hakuna atakaye kutaka" "saiv una ndugu na marafiki ila ukizeeka, wote watakukimbia ila watakaodhamin n familia yako mke wako na watoto wako" "mm nkw kijan nlvmb nkiona nn nguvu,sikutaka ushauri wa mtu leo hii nimejishdwa kwaiyo yatafakari usiyapuuze kama mm"
nlimuuliza babu vp tena akanijibu."unajua mjukuu wangu mm sjaoa na nina miaka 77,naumwaa sana sina wakuniangalia na ndugu zang wamenitelekeza kisa sina familia" "mm nataman cku zirud nyuma nioe ila nivigumu,ila mjukuu wangu ww saiv una huo uwezo saiv usichezee ujana wako oa ukiwa na nguv maana ukizeeka hakuna atakaye kutaka" "saiv una ndugu na marafiki ila ukizeeka, wote watakukimbia ila watakaodhamin n familia yako mke wako na watoto wako" "mm nkw kijan nlvmb nkiona nn nguvu,sikutaka ushauri wa mtu leo hii nimejishdwa kwaiyo yatafakari usiyapuuze kama mm"
