Between Maandazi and Banana.
Actually Maandazi can stay longer comparison to banana.
I'm afraid of ICE CREAM Republic🙂
Halafu unaambiwa kabla hatujakuita tumeshakuchunguza miaka 10 nyuma ila mnashindwa kubaini mtu alishaacha au club ilishavunjwa
Tumepata Tanzania ya vi wonder.....na sio viwanda
Kwa mbaaaaali naona Tanzania ya Viwanda ikipeperuka..
Tanzania kila kitu ni maigizo.
Hiinchi ina vituko....ila tumevizoea tu
Kwaya central ya polisi......hahahaaa
Kiki yao imebuma wananchi wanahitaji maisha bora sio comedy kila kukicha,istoshe ndio RC wa ajabu kuwahi kutokea tz halafu mshauri wke ni baba mwenye miaka 56 ambae maisha yamempiga kabaki kua mpambe n kuwadi.
Hku akisubiria mzee adanje apate japo nyumba ajisitiri
Hiyo inaitwa kumkoma nyani... au masikini akipata.....series ya korea
Siyo sisi ila kuna anayechocheaLoh
Nyie wachochezi
Acha mie nikalale
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..Coz sio vyote vya kusifia, wala sio vyote vya kuponda. You gotta be realistic!!Na wewe una uhuru wa kusifia na kupamba kila kitu,umeshindwa nini?
Realistic according to who?your brain?
Yours of course, keep on keeping on brother!!!Realistic according to who?your brain?
Jamani nimesikia hyo allegation mara nyingi. Nahisi kila kiongozi wa nchi hii alilipa kisasi. The near past tulisikia mengi kuhusu babu seya, Tukasikia mengi kule mwanza kwa mmiliki wa Mwanza hotel kususiwa, Bungeni wakisema kibaya mitaani wanafuatwa, nk. huwezi mulaumu huyu na kusahau detention za miaka yote ya nyuma watu kutiwa kizuizini, nk.Binafsi naona hii ni "Awamu" Serekali ya Kulipa Visasi na Kukomoana.
Marekan nayo miongon au?Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Tatizo steering Mkuu, haaminiki.
Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
This can only happen in banana/maandazi republic aisee.Na ndani ya wiki moja wameshaacha na wako clean
Ni Maandazi Republic au Banana Republic Mkuu? Chagua kwanza moja hapo ili tujadili. Tanzania yetu sote,tutakwenda mbele tu hata kwa kukosoana na kuelekezana