Vituko vya 'Maandazi Republic'?

Vituko vya 'Maandazi Republic'?

Loh

Nyie wachochezi

Acha mie nikalale


Between Maandazi and Banana.
Actually Maandazi can stay longer comparison to banana.
I'm afraid of ICE CREAM Republic
🙂

Halafu unaambiwa kabla hatujakuita tumeshakuchunguza miaka 10 nyuma ila mnashindwa kubaini mtu alishaacha au club ilishavunjwa

Tumepata Tanzania ya vi wonder.....na sio viwanda

Kwa mbaaaaali naona Tanzania ya Viwanda ikipeperuka..

Tanzania kila kitu ni maigizo.

Hiinchi ina vituko....ila tumevizoea tu
Kwaya central ya polisi......hahahaaa

Kiki yao imebuma wananchi wanahitaji maisha bora sio comedy kila kukicha,istoshe ndio RC wa ajabu kuwahi kutokea tz halafu mshauri wke ni baba mwenye miaka 56 ambae maisha yamempiga kabaki kua mpambe n kuwadi.
Hku akisubiria mzee adanje apate japo nyumba ajisitiri

Hiyo inaitwa kumkoma nyani... au masikini akipata..... series ya korea
 
Ila ile ya mapambio na vibwagizo ndo umezidi nitoa mpakan na hii jamhuri kwa kweli.
 
Binafsi naona hii ni "Awamu" Serekali ya Kulipa Visasi na Kukomoana.
Jamani nimesikia hyo allegation mara nyingi. Nahisi kila kiongozi wa nchi hii alilipa kisasi. The near past tulisikia mengi kuhusu babu seya, Tukasikia mengi kule mwanza kwa mmiliki wa Mwanza hotel kususiwa, Bungeni wakisema kibaya mitaani wanafuatwa, nk. huwezi mulaumu huyu na kusahau detention za miaka yote ya nyuma watu kutiwa kizuizini, nk.
 
Anashangaa wanakwaya kumtembelea Mchungaji wao wakati Makonda ameita waandishi wa habari na polisi akaanza kuwaimbia pambio na bila kutumia akili woote waliimba pambio mubashara. Swali la kujiuliza je walikuja kuimbiwa pambio na RC.
 
Ila ile ya mapambio na vibwagizo ndo umezidi nitoa mpakan na hii jamhuri kwa kweli.

Ndo nchi yetu hii
na kuna mijitu inaamini ndo tunapigana vita ya madawa
na tuko advanced kuliko FBI na CIA
 
  • Thanks
Reactions: bht
Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...

Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria

lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...

Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?

Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?

Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?

Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?

kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..

Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Marekan nayo miongon au?
 
Kuna wimbo unasema; Maji ya moto yamekuwa baridi, Hakimu amekuwa shahidi, Aliyenitesa ndio wakunifariji.....Waache wapambanee.... Waache wapambaneee
 
TID kakiri mbele ya umati pale kuwa ameachana na utumiaji wa madawa...
Je hiyo alichosema ni kweli na kinatoka moyoni
Au ndy anatafuta sympathy tu toka kwa wadau

Ova
 
Mkuu hii ni chuki tu kwa mtu mmoja. Chuki ya kukumaliza tu ama kukufilisi.
Dangote kuna baadhi waliajiriwa hawana vibali lakini alishikwa manager, sikuona dangote anatangazwa kwa mbwembwe kwamba hawamuogopi na pesa zake watamfunga...kimyaaa...lakin kwa mwingine wanataman hata wamshike na wambebe akiwa hivo hivo katika kitanda alicholazwa maskini baba wa watu yule ..mkuu kuna meng yamejificha ..
 
Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...

Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria

lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...

Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?

Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?

Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?

Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?

kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..

Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa

Tanzania ilibadilika kutoka kuwa United Republic mwezi November 2015 na kuwa Banana/Maandazi Republic.
 
Siku hizi nimeacha kuangalia TV sana sana nikipata some few news kwenye simu yangu inatosha
 
  • Thanks
Reactions: bht
Back
Top Bottom