Tunutu kiwavi
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 528
- 215
UKIONA ADUI YAKO ANAKUPONDA USISHANGAE ILA AKIKUSIFIA JIULIZE MARA MBILI MBILI. Sasa huy mtoa mada ni adui au rafk serikali hii?
Mkuu kwani Tz. unaionaje? Hakuna utawala wa sheria? hakuna demokrasia? Katiba haifuatwi? Kwani kuna uonevu? kama hayo hakuna basi hatuko ktk kundi lolote kati ya hayo mawili, ILA kama hayo hapo basi sisi ni....... nini vile eti?
hakuna masika ya mwaka mzima....ebo! hujakaa na wakulima ninina ndio kwanza 1/10. si mchezo
Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Na ndani ya wiki moja wameshaacha na wako clean
Halafu unaambiwa kabla hatujakuita tumeshakuchunguza miaka 10 nyuma ila mnashindwa kubaini mtu alishaacha au club ilishavunjwaNa ndani ya wiki moja wameshaacha na wako clean
Sifa kubwa ya Banana republic ni kuwa na corruption, yes! Lakini kubwa zaidi ni mapato ya serikali kuwa ni kwa manufaa ya wachache, wakati madeni ni ya wote nchini. Hiyo ndo iliyokuwa serikali ya awamu iliyopita.Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Kiki yao imebuma wananchi wanahitaji maisha bora sio comedy kila kukicha,istoshe ndio RC wa ajabu kuwahi kutokea tz halafu mshauri wke ni baba mwenye miaka 56 ambae maisha yamempiga kabaki kua mpambe n kuwadi.Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Hahahaaaa, hapi inamaanisha konda anafanya mambo kama deiwaka,Between Maandazi and Banana.
Actually Maandazi can stay longer comparison to banana.
I'm afraid of ICE CREAM Republic🙂