Imekuwa fasheni sasa,mara beach,nite club,kwenye train!mwishoni watahamia kwenye nyumba za ibada.
nakuunga mguu badala ya mmkono,kama hawa mahayawani wanao cheza maigizo(bongo movie)ndo watakuwa wakwanza,mie nafikiri bora binadam ambaye hakuelimika kuliko huyu alielimika maana amekuwa mpumbavu kwelkwel,utakuta mama anamfededa mwanae wakuzaa,bibi miaka hamsini anatafuta viaunder twenty..basi tuJapo mla chake hapangiwi ni meza ipi akalie, ila kwa hili sasa linavuka mipaka! ANGALIZO, haya tunayaona kwa wenzetu sasa kama kituko lakini wabongo kwa jinsi tulivyo wepesi wa kuigiza kesho utayaona kwetu. Mtakuja kunisuta hapa.