ni kweli mkuu, very unethical! ila ilikuwa inasaidia kwa kiasi fulani....Huo sio utaratibu kaka mnavunja kanuni but hongera zako
ni kweli mkuu, very unethical! ila ilikuwa inasaidia kwa kiasi fulani....Huo sio utaratibu kaka mnavunja kanuni but hongera zako
kumbe una mamilioni benkiYaani wale mimi bila shida nawachukulia kama wafanyakazi wangu wa kunipokelea mamilioni yangu na kuhakikisha wameyadeposit kwa uhakika kwenye my acc. Nothing more or less
Huyo ni yule anaepanga foleni masaa mawili kudiposit 10,000 wakati kuna wakala kibao mtaani kwakePamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Go back and read what I wrote again.Sasa unafikiri kila mtu ana muda wa "kufahamiana" na mtoa huduma wa ofisi wa kila taasisi anayopita? Wengine muda ni mali na tunazo ofisi zetu pia nazo zina viyoyozi kama za hao bank tellers wenye nyodo na hata kama hazina viyoyozi zinalipa vyema kuliko visenti vyao uchwara na bado tunawaletea biashara na hatuna nyodo. By the way ni miongozo ya bank gani inaagiza ili upate huduma nzuri (ambayo ni haki yako) ni lazima uwe na urafiki na hao mahousegirl wao (bank tellers sijui)? Nakosa muda hata wa kumpigia mama mzazi nianze kupoteza muda kujipendekeza kwa KIMA ambaye hana adabu na bila mimi hana sababu ya kuwepo hapo alipo? Wajiheshimu na kuheshimu wateja bhana, heshima kitu cha bure na kwenye kazi kama zao ni kitu cha LAZIMA hata kama ana ugomvi na bwana wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ajabu humu mtu anafiki ukienda pale unapoteza muda kutafuta marafiki kumbe inakuja automatically kwasababu unaenda mara kwa mara na watu ni wale wale. Mimi almost tellers wote na bank manager wananijua jina,ila mimi namjus jina mmoja tu.Hahah...unachosema ni kweli kabisa. hata mimi ndo utaratibu wangu. kila Bank ninayoenda lazima ni-recruit marafiki na tips za hapa na pale. yaani kama naenda Bank nampigia simu ananijazia bank slip na mimi naenda kumalizia signature. mpaka branch manager wanakuwa washikaji kwani nilikuwa nawatoa tips. sometimes nilikuwa nampigia manager achukue hela kwenye A/C yangu ampe teller aniletee ofisini......ukiwajuana na watu raha sana...
Hamna.Kuna mfanyakaz yeyote wa kike ktk hio benk unayoenda umempiga dudu?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufahamiana na watu muhimu sana. kuanzia Bank, Police, Mahakamani na Hospitalini. ukiweza kutengeneza network kwenye taasisi hizo zote...unakuwa salama bin salimin...Sasa ajabu humu mtu anafiki ukienda pale unapoteza muda kutafuta marafiki kumbe inakuja automatically kwasababu unaenda mara kwa mara na watu ni wale wale. Mimi almost tellers wote na bank manager wananijua jina,ila mimi namjus jina mmoja tu.
Mkuu kufahamiana huku kunakuja na mazoea ya kuonana kila siku na mutual respect. Kuna watu wana nyodo nafikiri umesoma comments humu na ha hao tellers ni binadamu ukiwaletea nyodo nao wanakupotezea tu. Kuwa friendly uone kama watakusumbua. Tumia same technic hata kwa traffic police nakuhakikishia fine utazisikia tu, be friendly.Sasa mpaka ufahamike ndio upatiwe heshima yako ! Hii haijakaa sawa
Nilishaapa sitafungua account CRDB....kulipia leseni etc kulinionesha hio ni benki ya aina gani.Chezea nguvu ya maku wewe. Yaani wanasahau kabisa kuwa mteja ndiye anayempeleka msalani coz anajua hata afanye nini boss hasemi lolote maana anapona hapo. Wa CRDB ndio wamezidi mno aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app